Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,375
- 105,197
Halafu karibia wale wasanii wakubwa wanaojulikana asilimia kubwa walivulundaWalioharibu kwangu wa kwanza NGOSHA sijui alichana nini F.....k
Halafu karibia wale wasanii wakubwa wanaojulikana asilimia kubwa walivulundaWalioharibu kwangu wa kwanza NGOSHA sijui alichana nini F.....k
Maarifa alitisha sana kwangu mimiKuna kipindi E.Africa Radio kumi za maangamizi,ni free style kwa dk 10.
Unaweza kusema hip hop au freeystyle ipo underground siyo kwa hawa wasanii waliotoka .Clips za hiyo kipindi vipo YouTube .Hii ni list yangu ya waliotisha.
1.Cado Kitendo.
2.Hidary Scoda
3.Chid Benz
4.Boshoo Ninja
5.Maarifa The Big Thinker
Kama umefuatilia hiki kipindi sijui Nani umemkubali
MAWAZO YA WADAU WA HIP HOP KWENYE COMENTS
1 .Nyenza
2.Boshoo Tanga boy.
3.Mbeya boy Chuma
Chaku cheeereeRaf MC from Chigidi Chuga ali'kill kinyama..Chalii ana flow tam sana.
Chap cheree..Uchebe nachaga,,,hahaha nakinukisha nakivukisha...noma kichizi zile flow zinaitwa 'Usinishike'Chaku cheeeree
Nikisema raf unasema mc raf mc raf...
Hii siyo classic ya wasafi, msosi mezani hii ndio classic ya walafi/
Aaaah chekiiiiiii....Mimi namba1 yeye ndo aliua then namba2 ni Chuma Mbeya boy alaf namba3 ni Boshoo Ninja,Namba4 ni Bando MC toka Shytownenga,..alaf waliodevela ki'whack ni Young Dee,Fid Q na Young Killer,Chap cheree..Uchebe nachaga,,,hahaha nakinukisha nakivukisha...noma kichizi zile flow zinaitwa 'Usinishike'
Dizasta vina nikina joh Sabini
Hii ndoano nilipost na uzi juzi nimeweka lyrics zake humo,,jamaa katisha sana kaimba kwa emotions kinoma