Iko hiv,inawezekana hii kujudge tunaitumia vbay,kinachoongelewa hapo ni kutaka usukununu na utomaso wa kutaka kujua historia ya nyuma ya mpnz au mwanandoa mtarajiwa,let say,wewe una bby wako unataka kumuoa,sasa uko bize kumchunguza mambo yake ya nyuma kuliko mambo yake ya sasa,au kufatlia itakuaje future yenu huko mbele,yan unakua tomaso wa kutaka kujua huyu mtu huko nyuma alikua anafanya nini,sasa ukishajua kua nyuma alikua muovu lazima utamkwepa bila kujua hayo ni yalishapita na huenda alishayaacha akabadilika akaanza maisha mapya kabisa na tabia mpya ambazo ndo hizo umemkuta nazo.
Ndo mana wanakwambia usifatlie sana historia ya mtu ya nyuma "everyone has a dark history,no one is an angel.
[HASHTAG]#DuhNdoNimeandikaPoteHapo[/HASHTAG][emoji15]