zimepanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. aise

    JamiiForums Tanzania Kigamboni nauli zimepanda tayari

    Nauli za bajaj tayari zimepanda kutoka 500 mpaka 1,000/= Na hakuna ufafanuzi wowote. Jana natoka zangu mishe naambiwa nauli 1000 badala ya 500. Hii siyo haki.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

    Soda Tsh 600 badala ya 500 Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500 Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/= Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/= Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na...
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Gharama za vifurushi vya intaneti zapandishwa tena kimya kimya. Je, ni censorship ya aina yake?

    Ni mwendo ule ule, umafia wa kimya kimya, kwa Voda na Tigo wameanza kutesti mitambo kwa kkupunguza GB za vifurushi vya mwezi. Kuanzia sasa tutegemee lolote, hii ni trailer tu, bado muvi kamili ya machinjo yatayofanyika kimya kimya gizani usiku wa manane, nadhani tunaweza kuamka asubuhi...
Back
Top Bottom