Ni Furaha na Shangwe zimetawala katika siku hii ya Leo iran ilipoishambulia Israel kwa makombora takribani 200 huku mengine 80 yakiongezwa, baadhi yametunguliwa na mifumo ya ulinzi baadhi yameweza kupiga target.
Ni furaha kama ile ya 7 October mwaka jana Palestina ilipoishambulia Israel lakini...
Mfanyabiashra wa madini mkoani Arusha, Pendael Moller ameondolewa kwenye kesi ya mauaji ya mlinzi anayefahamika kwa jina la Steven Jimmy na kuwaacha wenzake wawili ambao ni onesmo Molleli na Deogratius Mollel.
Mwanasheria wa Serikali alimwambia Hakimu Devota Msofe kuwa serikali imeamua...
Habari za muda huu wanajukwaa.
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada. Katika mradi wa SGR katika kituo cha Fela katika wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, kumekuwa na tabia ya mafomeni kupokea rushwa ili kuwapa kazi watu ambao wapo nje ya kampuni.
Kitendo hicho kimepelekea watu kufukuzwa kazi...
Habari za muda huu wadau wote wa Jf!
Naomba niandike nakala fupi tu kwa leo ambayo kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ukweli ni kwamba Mataifa ya ulaya hata magharibi yamekuwa na hofu kubwa sana juu ya waafrika pamoja na bara lao. Hofu hii inakuja baada ya mipango yao kufeli kwa kiasi kikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.