wokovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Girland

    Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

    UKISEMA wewe ni mkristo utaulizwa ,dhehebu gani?Hapa Kuna Wakatoliki (mama wa dini zote),Kuna waprotestanti (Lutheran, Anglican, n.k.) ,Kuna Wasabato , Jehovah witness, latter day saints,Kuna madhehebu mengine chungu nzima.Kuna wapentecoste hawa ndiyo wanajulikana hapa Tanzania kama (WALOKOLE)...
  2. C

    Ndugu zangu wa Kristo Unaporudia neno “wokovu” bila kuelewa, unakariri hadithi ya kubuni

    Wokovu kutoka kwa nini? Unaporudia neno “wokovu” bila kuelewa, unakariri hadithi ya kubuni si ujumbe halisi. Unawasikia Wakristo kila mahali wakisema: “Yesu aliniokoa!” “Alinikomboa kwa damu yake!” “Aliniokoa kutoka laana ya asili!” Lakini hebu nikuulize: Rafiki yangu, Yesu alikuokoa kutoka...
  3. Tata ya bana

    naomba kujua,Kuna hili kanisa laitwa jeshi la wokovu lipo hasa Dar es Salaam

    Wakuu naomba kujua,Kuna hili kanisa laitwa jeshi la wokovu lipo hasa DSM. Naomba kujua je wanna uhusiano wowote na majeshi yetu?nauliza hivyo Kuna siku kupitia redio nilimsikia mtumishi anaongoza Ibadan anaitwa meja---!mwenye uelewa atufungue kidogo!;
  4. Dr Adam Francis

    Sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii?

    [Mwz19:1]Malaika wawili wakaja Sodoma jioni; na Lutu alikuwa amekaa mlangoni pa Sodoma. Lutu akawaona akaondoka akaenda kuwalaki, akainama kifudifudi. [Mwz19:2]Akasema, Bwana zangu, karibuni nawasihi mwingie nyumbani mwa mtumwa wenu, mkalale, mkanawe miguu yenu, hata asubuhi mwondoke na mapema...
Back
Top Bottom