“Serikali itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kulipa posho za waheshimiwa madiwani, posho za waheshimiwa wenyeviti wa Serikali za vijiji na mitaa, lakini tutaendelea kuona uwezekano kwa kadri ya uwezo wa serikali, namna ambavyo halmashauri zitaboresha posho za wenyeviti wa vijiji.” – Dkt...
Hivi haya Matamko ya Kibabe ya Waziri Mchengerwa ndivyo Mawaziri wote wa TAMISEMI wanatakiwa kuyatoa au Yeye ni 'Waziri Special' wa TAMISEMI ya sasa?
Naomba niwekewe List hapa ya Mawaziri wa TAMISEMI wa Tawala zote Tano zilizopita tokea Uhuru wa Taifa letu la Tanzania na ikiwezekana pia kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.