waziri mkuu mwigulu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu ahoji maandamano ya Oktoba. Maandamano gani watu walikuwa well armed?

    Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili. Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu? === Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
  2. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu: Tanzania haitaendeshwa kwa 'Remote', Magari 1642, vituo vya mafuta 672, bodaboda 2268 vilichomwa moto

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, anazungumza na wahariri wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wa habari, akihitaji nguvu kuunganishwa ili kufikia malengo ya Dira 2050. Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Nawashukuru Wahariri na vyombo vya habari Tanzania kwa...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri mkuu Mwigulu: Wanaopiga filimbi hawapo nchini, wewe unajua wanatumwa nani? Rasilimali za nchi zitalindwa kwa gharama yoyote

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa wale wote wanaopuliza filimbi ya kuhamasisha wananchi wachome nchi hawapo nchini, na kwamba kuna waliopelekwa kufanya hivyo. Amesisitiza kuwa rasilimali za nchi zitalindwa kwa gharama yoyote ile. Kauli hiyo...
Back
Top Bottom