Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili.
Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu?
===
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, anazungumza na wahariri wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wa habari, akihitaji nguvu kuunganishwa ili kufikia malengo ya Dira 2050.
Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo
Nawashukuru Wahariri na vyombo vya habari Tanzania kwa...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa wale wote wanaopuliza filimbi ya kuhamasisha wananchi wachome nchi hawapo nchini, na kwamba kuna waliopelekwa kufanya hivyo. Amesisitiza kuwa rasilimali za nchi zitalindwa kwa gharama yoyote ile.
Kauli hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.