wazaramo

The Zaramo people, also referred to as Dzalamo or Saramo, (Wazaramo, in Swahili) are a Bantu ethnic group native to the central eastern coast of Tanzania, particularly Dar es Salaam Region and Pwani Region. They are the largest ethnic group in and around Dar es Salaam, the former capital of Tanzania and the 7th largest city in Africa. Estimated to be about 0.7 million people, over 98% of them are Muslims, more specifically the Shafi'i school of Sunni Islam. Zaramo people are considered influential in Tanzania popular culture with musical genres like Sengeli originating from their commonity in Kinondoni District. Their culture and history have been shaped by their dwelling in both urban and rural landscapes.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Huyu ticha atakuwa aliwazingua Wazaramo

    Nasoma soma historia ya Wazaramo. Nimekutana na hiki kisa. Basi baada ya Vita Kuu ya Pili Serikali iliongeza kujenga skuli za vijijini katika sehemu kadha za Uzaramo. Lakini sehemu nyingine migogoro ilitokea kati ya wazazi na walimu, kwa mfano Mwalimu Barnabas Mwinyiwaziri aliyekuwa...
  2. Lycaon pictus

    Jinsi Wazaramo walivyokuwa wanatafuta mchawi iwapo ndugu yao amefariki, na jinsi walivyomuadhibu

    NDAGU, KITALA NA ADHABU YA MCHAWI NDAGU maana yake ni ‘ramli'. Kwa desturi, baada ya kuondoa matanga, ndugu waliofiwa huenda kwa mganga wa ramli ili awajulishe sababu ya kifo kilichotokea. Ziko namna nyingi za ndagu, kwa mfano, ndagu ya kifo, ndagu ya ugonjwa, yaani ramli ya kubashiri maradhi...
  3. Lycaon pictus

    Kitabu: Masimulizi juu ya Wazaramo.

    Na R. Mwaruka. Unaweza kukisoma free ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore. SURA YA 1 PAZI KILAMA KATIKA UZARAMO WAZARAMO ni jumla ya mchanganyiko wa makabila ya Kibantu. Sehemu kubwa ya mchanganyiko huo ni Wakutu na watu wengine wenye asili ya Mwambao. Neno hili 'Uzaramo' linatokana...
  4. Komeo Lachuma

    Wahadimu jamaa wenye Zanzibar yao kama ilivyokuwa Dar kwa Wazaramo

    Wenyeji wa Zanzibar ni hasa watu wa kabila la Wazanzibari, lakini hili si kabila kwa maana ya kijadi kama ilivyo kwa Wachaga au Wanyakyusa, bali ni utambulisho wa watu wa visiwa vya Zanzibar (Unguja na Pemba), ambao kwa kiasi kikubwa ni mchanganyiko wa makabila na tamaduni mbalimbali kutokana na...
  5. Minjingu Jingu

    Sasa ni wakati wa Wazaramo pia kudai Dar Es Salaam yao

    Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi. Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya...
  6. Dr Matola PhD

    Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

    Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuli na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo. Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajua mapishi hasa ya nazi na pili kubwa...
Back
Top Bottom