Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepatiwa mafunzo kuhusu magonjwa sugu yasiyoambukiza mahala pa kazi pamoja na afya ya akili, leo tarehe 4 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameambatana na zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.