watu kupotezwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Dawson Dominic hajaonekana tangu Oktoba 29, 2025. Familia wamsaka mochwari, vituo vya polisi bila mafanikio

    Jina kamili: Dawson Dominic Mwesiga Umri: Miaka 24 Tarehe ya kuzaliwa: 24 Desemba 2000 Namba ya simu aliyokuwa akiitumia: +255 752 968 227 Mara ya mwisho kuonekana/mwasiliano: 29 Oktoba 2025, saa 4:34 asubuhi Eneo la mwisho alipoonekana: Kimara, Dar es Salaam. Sisi kama familia ya mtajwa hapo...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Bibi wa Deo Soka: Nashindwa kula nabaki kulia tu, waniletee hata maiti ya mjukuu wangu nikazike

    Ukiyasikia maneno anayoyasema huyu bibi yake na Soka ambaye alimlea tangu mdogo hadi anakuwa inaumiza sana. Soka amepotea imepita mwaka na miezi 2 ambapo alitekwa Agosti 18, 2024 familia yake haifahamu wapi amepelekwa mtoto wao. Nyie watekaji mliomteka Soka kumbukeni dunia ni duara ipo siku...
  3. Mafyangula

    GE2025 Askofu Gwajima: Naendelea kukataa utekaji, na kauli zinazotoka ni nyepeusi ukilinganisha na uzito wa uhai wa mtu

    Askofu Gwajima amesema anaendelea kuukata utekaji lakini pia kauli zinazotolewa na mamlaka ni kauli nyepesi sana ukilinganisha na uzito wa uhai wa mtu. Aidha amesema kwamba alivyojamaza kusema kwa kipindi cha miezi 5 alijuwa yataisha lakini ndio matukio ya utekaji yanaendelea kwa kasi sana...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDASA) watoa tamko kali hali ya kiusalama nchini wagusia Utekaji

    Hii ndio inavyotakiwa sasa, licha mmekaa sana kimya inawezekana mmesukumwa kusema. Ila sio mbaya walau nanyi mmesema hali ilivyo nchi. ============ Ndugu, Watanzania Wote, Mabibi na Mabwana, UDASA ni Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama sehemu ya watanzania na...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Twaha Mwaipaya: Kijana Jerison Keraliyo miaka 18 ametekwa Kishili center Mwanza, jana Oktoba 9, 2025

    Hali imezidi kuwa mbaya! Watekaji wamekuwa kama wafalume katika nchi, kufanya ukatili na kupoteza watu kila siku. Kijana mdogo kama huyu mnamteka kwa lipi hasa. Nyie watekaji acheni ushamba! ================ Anaitwa Jerison keraliyo. Umri miaka 18 Mkazi wa kata ya kishili Mtaa kishili B...
  6. Hance Mtanashati

    Miaka michache ijayo, Tanzania itakuwa nchi ya hatari zaidi Afrika kuliko hata South Africa

    Kwa yanayoendelea nchini, bila shaka Tanzania inaongoza kuwa ni nchi hatari zaidi kwa upande wa Africa mashariki maana kila kukicha matukio ya utekaji yanaongezeka, hofu zinazidi kutanda na watawala hawaoneshi nia yoyote kukabiliana na hali iliyopo au kutoa tamko lolote kwa yanayoendelea hapa...
  7. Idugunde

    Kama taifa tumefikia pabaya sana. Kukemea uovu, ufisadi na wizi wa mali za umma mtu anamalizwa na kutekwa!

    Ninakaa natafakari sana Je, hii ni CCM iliyopogania uhuru wa taifa hili? Kwa nia njema kabisa mtu anatoa taarifa kuwa kuna mtu alikwapua bil zaidi ya 60 kwa kusambaza sare hewa. Ni kosa la jinai pia pesa hii iliyokwapuliwa ingeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 20. Kusema ukweli kuwaa katiba...
  8. Mafyangula

    GE2025 Bishop Kabigumila: Nimenusurikwa kutekwa, baada ya kupost video ya Kapten Tesha

    Siku ya Jumapili nilipokwenda kanisa, nikashusha watoto pale kanisani, Mungu akanipa hekima niwashushe kwanza watoto niende saloon kunyoa ndevu, haaa ! Kumbe wamejazana kila sehemu hawa watu hakuna chochote hakuna jambo la maana, wapo tu wananyemelea. Nilipofika pale saloon walikuwa wamshafika...
  9. Mafyangula

    GE2025 Usiku huu wananchi wa Kakola, Kahama wafunga barabara kushinikiza vijana wanne waliotekwa leo kupatikana

    Usiku huu huko Kakola Bulyanhulu raia wameandamana, barabara zimefungwa. Raia wanamtaka mtu wao ambae ametekwa leo na watu wasiojulikana moja wapo wa kijana aliyetekwa anaitwa Ibrahim Mfangavo Taratibu tunaelekea pazuri Taarifa ya awali aliyoitoa Hilda Newton HABARI MBAYA Leo Wilaya ya...
  10. Yoda

    PreGE2025 Watetezi wa utekaji, mauaji na watu kupotea jipangeni angalau kwa hoja zenye akili na mashiko

    Nikirejea utetezi wa matendo haya wa Jerry Muro kama mfano wa jumla wa watetezi na watu wanaoamini hivi vitendo kwa sasa vimewahi kuwepo huko nyuma pia, ni vya kawaida tu na sio vya kuchukuliwa kwa uzito na utofauti kwa sasa. Kwanza, hata kama vimewahi kuwepo huko nyuma ila watu hawakupiga...
  11. Mindyou

    Mfanyabiashara apotea Katoro kwa siku 19, mumewe anamtafuta

    Mfanyabiashara wa pembejeo za kilimo na mifugo, Yohana Zakaria, mkazi wa Katoro mkoani Geita, anaendelea kumtafuta mkewe, Tatu Kimori, ambaye alitoweka nyumbani tangu Machi 2 mwaka huu. Tatu, mwenye umri wa miaka 46, alimuaga mume wake akielekea Sirari Mkoani Mara kwa ajili ya kufuatilia mzigo...
  12. Sigonella Island

    Kutumia mabavu ili upendwe au utawale ni ugonjwa wa akili

    Tabia za kidikteta zimeanza kuwaingia viongozi wanaovaa ngozi za kondoo kumbe mioyo yao imejaa uroho wa madaraka na upunguani wa akili. Watanzania hawakuzoea kusikia au kupitia huu upumbavu unaoendelea haya mambo aliyafanya Iddi Amin Dada miaka ya 70 kipindi anatawala Uganda kimabavu sasa Dunia...
  13. Cute Wife

    Polisi anayeenda kumkamata mwananchi anatakiwa kuwaje? Mwananchi anatakiwa kufanya nini ikiwa amegundua mtu huyo siyo polisi?

    Wakuu mko salama? Kumekuwa na matokeo mengi yanatokea hivi karibuni watu wanakamatwa na watu wanaojitambulisha ni polisi mwisho wa siku wanaokotwa wamekufa, polisi wakiambiwa ni wao wamefanya hivyo wanagoma kuwa waliowakamata siyo polisi. Wakati mwingine huwa inatokea wanaomkamata mtuhumiwa...
Back
Top Bottom