Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.
Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
Kwa wasiofahamu Watanzania wa twitter mwaka 2019 waliwahi kukusanyika kufanya ToT bonanza, hili ni jambo la kushangaza kidogo ukizingatia wengi wao hata hawajuaini na wala sio ndugu, ila waliweza kuaminiana wakukusanyana wakala nyama na kunywa pamoja na kufanya michezo mbalimbali na kuonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.