watangazaji radio47 kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wadai kupokea vitisho kutoka Tanzania

    Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wanaongoza kipindi cha Maskani 47, Billy Miya na Mbaruk Mwalimu wakiwa kwenye kipindi wametoa madai ya kupokea vitisho kutoka Tanzania wakieleza sababu ni kuongelea matukio ya Tanzania. Awali kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Tanzania na hata baada ya uchaguzi...
  2. R

    GE2025 Watangazaji radio47 Kenya: Kuna haja ya Watanzania kupiga kura za urais kweli? Inaonekana kuwa Samia Suluhu hana Upinzani

    Watangazaji wa Radio47 Kenya, Mkamburi na Japhe, wamehoji mwenendo wa uchaguzi unaoendelea nchini Tanzania, wakibainisha kuwa kampeni zimeonekana kutawaliwa na mgombea wa chama kimoja, Samia Suluhu Hassan, huku baadhi ya wapinzani akiwemo Tundu Lissu kuwekwa kizuizini. Hata hivyo, muenendo wa...
  3. R

    GE2025 Watangazaji radio47 Kenya: Watanzania mkienda kuandamana mkumbuke Polisi wenu hawana huruma kama Kenya, Muacheni Samia amalize muda wake

    Wakuu, Huyu mbona kama kalipwa afanye promo, nakataa hii siyo akili ya Kenya ------------- Watangazaji wa kipindi cha Maaskani cha Radio47 nchini Kenya, Billy Miya na Mbaruk Mwalimu, walitoa onyo kwa wananchi wa Tanzania wanaotaka kuandamana, wakikumbusha kuwa Polisi wa Tanzania hawana huruma...
Back
Top Bottom