waraka wa wazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh atishia kukabiliana na waandamanaji kwa kuwakata vichwa

    Wakuu, Kwani ule waraka wa TEC mimi niliusoma vibaya? Mbona jamaa wamechukua ule ujumbe kama ni vita hivi Alichozungumza huyu Sheikh ni hiki "Kuanzia kesho tunaanza taarifa rasmi kwa wahadhiri wote 3500 kila msikiti wapite Tanzania nzima kuanza kujipanga na kukabiliana na hao wanaitwa...
  2. Magical power

    JamiiForums Tanzania Waraka wa wazi kwa Wanaume wote

    1. WADANGAJI hawajawahi kuwa na huruma na pesa zetu hata familia zetu. 2. WADANGAJI hawajawahi kuwa na upendo siku ambazo mifuko haina kitu. 3. WADANGAJI hawawezi kukuletea uji ukiwa hospital au kuja kukujulia hali 4. WADANGAJI hawana huruma na watoto wako atakukwapua kila kitu 5. WADANGAJI...
  3. Revocatus James Ngoja

    JamiiForums Tanzania Waraka wa wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    WARAKA WA WAZI KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA KUUNGANO WA TANZANIA DKT SAMIA SULUHU HASSAN. Mheshimiwa Rais Awali ya yote ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Rais kupitia kipande hiki cha maandishi napenda kuongea na wewe mambo machache yanayolikumba taifa...
Back
Top Bottom