Wakuu,
Kwani ule waraka wa TEC mimi niliusoma vibaya? Mbona jamaa wamechukua ule ujumbe kama ni vita hivi
Alichozungumza huyu Sheikh ni hiki
"Kuanzia kesho tunaanza taarifa rasmi kwa wahadhiri wote 3500 kila msikiti wapite Tanzania nzima kuanza kujipanga na kukabiliana na hao wanaitwa...
1. WADANGAJI hawajawahi kuwa na huruma na pesa zetu hata familia zetu.
2. WADANGAJI hawajawahi kuwa na upendo siku ambazo mifuko haina kitu.
3. WADANGAJI hawawezi kukuletea uji ukiwa hospital au kuja kukujulia hali
4. WADANGAJI hawana huruma na watoto wako atakukwapua kila kitu
5. WADANGAJI...
WARAKA WA WAZI KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA KUUNGANO WA TANZANIA DKT SAMIA SULUHU HASSAN.
Mheshimiwa Rais Awali ya yote ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa Rais kupitia kipande hiki cha maandishi napenda kuongea na wewe mambo machache yanayolikumba taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.