wanasiasa wa upinzani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Mihemko na hasira za mkizi katika siasa za Tanzania, vimekua utambulisho muhimu sana kwa wanasiasa mamaluki wa vibaraka wa magharibi

    Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.? Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na...
  2. Genius Man

    Kumekuwa na kesi nyingi hewa za uhaini kwa wanasiasa wa upinzani ni wazi kuna dalili za rushwa

    Tumeshuhudia kesi nyingi kabla hata ya Lissu za uhaini kwa wanasiasa wa upinzani pekee, mwisho wa siku kunakuwa kumbe hakuna kesi yoyote wala hatuoni chochote Jambo hili limekuwa kama mchezo wa mdhaa Ni wazi kabisa kuwa kuna wimbi kubwa la rushwa nchini hasa kwa jeshi la polisi
  3. Mshana Jr

    Wanasiasa wa upinzani wauawa kwa kupigwa risasi Msumbiji baada ya uchaguzi wenye utata

    Kutoka nchini Msumbiji inaelezwa kuwa watu waliokuwa na bunduki wamempiga risasi na kumuua mwanasiasa wa upinzani nchini humo Elvino Dias Taarifa iliyotolewa na chama chake cha PODEMOS imeeleza kuwa Elvino Dias, wakili wake na mshauri wa mgombea wa nafasi ya Rais kwa tiketi ya chama cha...
  4. K

    Wapinzani wanaporejea Chama cha Mapinduzi (CCM)

    WAPINZANI MNAPORUDI CCM NI LAZIMA MFAHAMU CCM INAONGOZWA KWA SHERIA, KANUNI MIONGOZO NA TARATIBU ZINGINE. Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 07 ibara 12(1) kisha tukasome uk 151 kifungu cha 01 na cha 08 Niliwahi kusoma Gazeti la TAZAMA la Tarehe 7 -13/01/2020 uk 05 liliandika, Wakati huo...
  5. M

    Kwanini wanasiasa wa Upinzani Tanzania Bara wanahama na kuhamia CCM?

    Kwanini wanasiasa wa Upinzani wa Tanzania Bara wanahama na kuhamia CCM- KUNANI? Wakati nipo chuo kikuu, Prof Wangu alituambia siku moja darasani kwamba- "ukitaka uishinde njaa usimuhadithie mwezio kama unanjaa kwani anaweza kukuhadithia yeye kala vyakula vizuri ambapo wewe utashindwa kuiviapa"...
Back
Top Bottom