wakuu wa wilaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Rushwa inanuka na udhaifu wa wakuu wa Wilaya

    Migogoro ya wakulima na wafugaji ipo kwa miaka mingi sana, ilishamiri mno kipindi cha awamu ya nne, pale nchi ilipopata changamoto ya uakame miaka ya 2006 mpaka 2007 wafugaji walihama hama sana kutoka mwanza geita kahama simiyu arusha manyara kuelekea kusini , bonde la usangu, wami , kilombero...
  2. A

    Kuelekea D9 je kuna Nywi Nywi Kutoka Aliye jisimika au Polisi au wakuu wa mikoa au wakuu WA wilaya àu makada WA sisiemu

    Kuelekea D9 tungependa kujua kama kuna Nywi Nywi toka Kwa watajwa hapo juu, ili watu waweze kuchukua taadhari au sasa hivi kauli itatoka kwa Nchemba
  3. DuaZaMama

    GE2025 Mwabukusi: Futa wakuu wa wilaya, futa wakuu wa mikoa, hakuna kazi wanayofanya

    Mdau unayajua majukumu ya mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya? "Futa wakuu wa wilaya, futa wakuu wa mikoa, hakuna kazi wanayofanya" Boniface Mwabukusi, Rais wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS).
  4. DuaZaMama

    GE2025 Rais Mwinyi afanya uteuzi wa RC na Ma-DC

    Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya watano kufuatia baadhi ya waliokuwa wakishikilia nafasi hizo kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi za uwakilishi na ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo...
  5. Dennis Robert Shughuru

    Nitahakikisha kunakuwa na Tanzania master plan model na kuanzia balozi, mwenyekiti, afisa mtendaji, wakuu wa wilaya na mikoa watakuwa na hardcopy

    Nikiwa Rais wa Tanzania ntahakikisga nchi nzima inapimwa, na hii kazi ya kupima nchi nzima watapewa waholanzi, wakimaliza Tanzania master planning itakuwa kwenye three dimension na hardcopy watapewa mabolozi, wenyeviti wa mitaa, wakuu wa wilaya, na wakuu wa mikoa ili mwananchi akitaka kujenga...
  6. Tabutupu

    Tetesi: Wanao jitoa chadema ni list ya wakuu wa wilaya wakuteuliwa kuanzia 2026

    Ukiachana na babu kigaila, wengine wote watateuliwa ukuu wa wilaya na mikoa kama ilivyo kuwa kwa sendinga wa manyara na nasari. TUsiwaumu, hata wewe unayesoma hapa, ukipewa 200M uachane na siasa (chadema) , utakataa?
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wakuu wa wilaya Tabora: Nyumba tunazoishi haziendani na hadhi yetu

    Wakuu wa wilaya za mkoa wa Tabora wameiomba serikali kuwajengea nyumba za kuishi pamoja na ofisi zao, wakieleza kuwa kwa sasa wanatumia majengo chakavu na ya zamani. Baadhi ya majengo hayo hujaa maji pindi mvua zinaponyesha, hali inayodhoofisha mazingira yao ya kazi na kuonyesha kutokuwepo kwa...
  8. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na Wenyeviti wa bodi mbalimbali

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko katika safu ya uongozi kwa kuwahamisha wakuu wa wilaya wawili na kuteua viongozi wapya kwenye nyadhifa mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
  9. Just Pray

    PreGE2025 Mchengerwa awaagiza wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi kupanga ratiba ya uzinduzi wa miradi iliyosalia kwa kushirikisha wabunge

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohammed Mchengerwa amewaagiza wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri kupanga ratiba ya uzinduzi wa miradi mbalimbali iliyosalia kwa kushirikisha wabunge. Akizungumzia suala hilo, Mchengerwa...
  10. milele amina

    Tahadhari kwa Wakuu wa Wilaya Wapya walioteuliwa tarehe 24.1.2025

    Katika siku chache, Jana tarehe 24.1.2025, wakuu wa wilaya wapya wamepata nafasi ya kuteuliwa, kuongoza wilaya mbali mbali nchini. Hata hivyo, ni muhimu kuchukua hatua za tahadhari ili kuhakikisha ufanisi wa uongozi wenu. 1. Mwangalizi wa Makatibu wa CCM: Makatibu wa CCM wa wilaya ni watu...
  11. J

    Hawa Wakuu wa Wilaya waliotokea CHADEMA waangaliwe kwa jicho la 3 ni kama wanamhujumu Rais!

    Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka Mtanishukuru baadaye 🐼
  12. Just Pray

    Magari mapya yatolewa kwa wakuu wa wilaya za Mkoa wa Pwani

    Rais Samia Suluhu Hassann ametoa magari mapya kwa wakuu wa wilaya zote za Mkoa wa Pwani, ili kurahisisha utendaji kazi wa viongozi hao. Akikabidhi magari hayo kwa niaba ya Rais, mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa magari hayo ili kuwawezesha viongozi...
  13. L

    Kesho Nitawaleteeni Andiko zito sana kama Kimondo cha Ndolezi Mbozi kuwausia Wakuu wa wilaya na Mikoa

    Ndugu zangu Watanzania, Siku ya Kesho panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu nimepanga kuleta andiko zito sana kama Kimondo cha Ndolezi Mbozi Mkoani Songwe kuwausia wakuu wa Wilaya na Mikoa. Ni andiko la kuwakumbusha mambo mbalimbali, kuwakumbusha dhamana kubwa waliyoibeba ,kuwakumbusha wajibu wao...
  14. Stephano Mgendanyi

    DC Mwanziva aripoti rasmi katika kituo chake cha kazi cha Wilaya ya Lindi

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva amefika na kuripoti rasmi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack leo tarehe 05 Septemba, 2024. Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva ameripoti katika kituo chake cha kazi cha Wilaya ya Lindi baada ya...
  15. Suley2019

    Uteuzi Septemba 2, 2024: Rais Samia ateua na kuhamisha vituo vya kazi viongozi mbalimbali

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa na kuhamishwa vituo vya kazi ni...
  16. S

    Mamlaka ziwaondoe Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi

    Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao. Hii inatokana na Mabaraza ya...
  17. Black Butterfly

    Geita: Wakuu wa Wilaya wapewa Magari 3 mapya yaliyogharimu Tsh. Milioni 840

    Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amekabidhi magari matatu mapya kwa Wakuu wa Wilaya ya Geita, Mbogwe na Nyang’hwale yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 840. Akikabidhi magari hayo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Shigela amewataka Wakuu wa Wilaya kuyatumia vizuri...
  18. Suley2019

    Rais Samia: Bado kuna Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanatumia vibaya madaraka yao

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado kuna viongozi wa mikoa na wilaya wanaendeleza matumizi mabaya ya madaraka hasa eneo la ukamataji. Rais Samia amesema hayo wakati akitoa hotuba baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa Kamati ya Haki Jinai iliyotolewa na makamu mwenyekiti wa kamati hiyo...
  19. BARD AI

    Akina Makonda Wanatulazimisha Tuendelee Kutafakari Nafasi za Wakuu wa Wilaya, Mikoa: Tunawahitaji Kweli?

    Watanzania hawawahitaji wakuu wa mikoa na wilaya, na walilisema hili hadharani wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba, maarufu kama Tume ya Warioba, ilipotembea nchi nzima kwa ajili ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu mfumo wa kiutawala wanaoutaka, na tume hiyo ikayaheshimu mawazo hayo kwa...
  20. Heparin

    Sophia Mfaume: Wakuu wa wilaya hatuna Magari, tunaazima Halmashauri na kwa RAS

    Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Sophia Mfaume Kizigo amesema Wakuu wa Wilaya hutumia magari ya kuazima Halmashauri na kwa RAS na kwamba leo hutumia gari hili, kesho lile na wakati mwingine huwa wanapanga ziara huku mtu mwenye gari akitaka kulitumia pia. Ameyasema haya kwenye Mtandao wa X wakati...
Back
Top Bottom