Ex: Eliza mambo
Eliza: poa tu nani!!
Ex: aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.
Eliza: hayo hayakuhusu sema we nani.
Ex: mi Fredy Mcharo
Eliza: jamn mzima wewe za siku!!
Ex: nzur tu nimekumiss.
Eliza: we si uliniacha bwana...
Ex: hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia...