wafanyabiashara wa kigeni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ContentCreator

    Biashara hizi zimezuiwa kufanywa na wafanyabiashara wa kigeni

    Jana Waziri wa Viwanda na Biashara ametunga amri inayozuia wageni kutoka mataifa ya kigeni kufanya baadhi ya biashara kama zilivyoainishwa kwenye amri hiyo. Amri hiyo imetungwa kupitia kifungu Cha 14A(2) Cha Sheria ya Leseni za Biashara yaani Business Licencing (Prohibition of Business...
  2. Mindyou

    Naibu Waziri wa Bishara Exaud Kigahe awatuhumu watumishi wa TBS kwa kupokea rushwa. Ataka wafanyabiashara wa kigeni wasakwe!

    Wakuu, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, amesema baadhi ya watumishi wa Wakala wa Vipimo (WMA) na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamekuwa wanapokea rushwa na kuruhusu bidhaa duni na kuendelea kuuzwa mitaani, hivyo kuhatarisha afya za watumiaji. Akiwa ametembelea Shirika la...
  3. Mindyou

    Kamati iliyoundwa na Waziri Jafo kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo yaitisha press kuonesha wamefikia asilimia 50 ya Uchunguzi wao

    Wakuu, Hivi kulikuwa na haja ya watu kuitisha press kutuambia kuwa wamefikia asilimia 50 ya majukumu ya kazi yao? Kwanini wasingetupa majibu baada ya kupata majibu kamili? =============================================== Baada ya Rais Samia kutoa agizo la kuanzishwa kwa tume ya siku 30...
Back
Top Bottom