Ili kuepusha migomo kujirudia inahitajika elimu kubwa hapo kariakoo, taarifa zifuatazo zitasaidia kutengeneza maudhui ya kozi husika,
1. Majina kamili (kama yanavyoonekana kwenye NIDA),
2.TIN (anwani ya biashara ilipo),
3. Kiwango cha juu kabisa cha elimu, cha wafanyabiashara.
4. Mahojiano...
Hadi Sasa ni saa 2:24 asubuhi maduka mengi hayajafunguliwa.
Licha ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila, kuwasisitiza Wafanyabiashara wa Kariakoo kuendelea na shughuli zao kama kawaida, hadi Saa 9 Asubuhi Wafanyabiashara wengi wamefunga Biashara zao katika Mitaa ya Kariakoo, leo Juni 24, 2024...
biashara kariakoo
chalamila
kariakoo
kodi
kufunga biashara
maduka yafungwa kariakoo
mgomo kariakoo
mgomo wa wafanyabiashara
mgomo wa wafanyabiasharakariakoo
mgomo wafanyabiasharakariakoo
rc chalamila
serikali
wafanyabiasharawafanyabiasharakariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.