Utafiti mtandaoni unaonyesha Africa kuna Wachina 1m. South Africa ikiwa na Wachina zaidi ya laki nne. Nchi ya Zambia ina wachina 100,000. Kenya wapo 50,000. Tanzania yetu wapo 30,000.
Mytake. Kwa labour cost ya China haikutakiwa tulielie wakija kwetu kutuuzia bidhaandogo ndogo. Vitu kama...