Viongozi waandamizi wa vyama mbalimbali vya upinzani leo watazungumza na waandishi wa habari. Watazungumzia maazimio ya #Azimio la Zanzibar.
Muda: Saa tano kamili asubuhi
Eneo: Makao Makuu ya CHAUMMA, Makumbusho, Dar es salaam.
======
UPDATES;
Viongozi Waandamizi wa Vyama mbalimbali vya...