The Tanzanian Honours System consists of orders and medals awarded for exemplary service to the nation. It is presented by the President of Tanzania on national holidays.
Jenerali mstaafu David Bugozi Waryoba Musuguri alizaliwa Januari 4, 1920 katika Kijiji cha Kumuruti, Masabha. Sasa sehemu hiyo inajulikana kama Nyasirori, akiwa mtoto wa tatu katika familia ya mzee Musuguri wa Nzangho.
Alipozaliwa aliitwa jina la Waryoba, ikiwa ni ishara kwamba alizaliwa...
Majeshi ya Libya yaelemewa na JWTZ nchini Uganda.
#Sehemu #ya - 20.
Toleo lililopita tuliona jinsi askari wa Libya walivyo elemewa nchini Uganda na namna wengine walivyouawa na wengine kuchukuliwa mateka.
Hatimaye Iddi Amin alipoona kuwa Libya haiwezi kumuokoa katika kuzama kwake,alizigeukia...
Luteni wa jeshi la Uganda (UPDF) alivyo ziingiza vitani Tanzania na Uganda.
#Sehemu #ya - 1
Kuanzia leo nitawaletea makala mfululizo zinazohusu Vita ya Kagera kati ya Tanzania na Uganda iliyodumu kwa miezi sita kati ya mwaka 1978 hadi 1979.
Vita hiyo ilianzia mkoa wa Kagera unaopatikana...
Jana wakati naangalia TBC Kwenye sherehe za Mashujaa zilizoongozwa na Rais nilipatwa na masikitiko makubwa sana hasa nilipouona ule Mnara wa MASHUJAA wa vita vya Kagera niliwakumbuka sana wapiganaji wenzangu waliopoteza maisha yao wakiwa mstari wa mbele wa mapambano ya kuuondoa Utawala wa Nduli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.