Wakuu,
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Afisa Utafiti wa LHRC, Fundikila Wazambi wakati anawasilisha ripoti ya mwaka amesema kati ya mwaka 2021 hadi 2025, kituo hicho kimekusanya na kuthibitisha jumla ya visa 197 vya utekaji na upoteaji wa watu, idadi ambayo imeelezwa kuwa kubwa na...
Ni either (1) tufanye total reforms kwa kurekebisha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ili kuwa na mfumo wa haki wa siasa za vyama vingi ikiwemo chaguzi huru na za haki au
2. Kubadilisha katiba ili kufuta mfumo wa vyama vingi na kubaki na ccm pekee.
Tuache unafiki wadau. Options ni...
Agosti 5, 2024 - Mwanaharakati Deusdedith Soka, akizungumza kwa niaba ya vijana wa CHADEMA, ameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana nchini Tanzania. Katika mkutano na waandishi wa habari, Soka ameonesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa ajira kwa vijana, akisema kwamba licha ya vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.