visa vya utekaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    JamiiForums Tanzania LHRC: Kwa kipindi cha miaka 5 visa vya utekaji na watu kupotea tulivyokusanya vimefikia 197

    Wakuu, Akizungumza jijini Dar es Salaam, Afisa Utafiti wa LHRC, Fundikila Wazambi wakati anawasilisha ripoti ya mwaka amesema kati ya mwaka 2021 hadi 2025, kituo hicho kimekusanya na kuthibitisha jumla ya visa 197 vya utekaji na upoteaji wa watu, idadi ambayo imeelezwa kuwa kubwa na...
  2. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kuna option 2 tu za kuondoa mateso, dhuluma , visa vya utekaji, mauaji ya raia, na ukandamizaji unaoendelea

    Ni either (1) tufanye total reforms kwa kurekebisha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ili kuwa na mfumo wa haki wa siasa za vyama vingi ikiwemo chaguzi huru na za haki au 2. Kubadilisha katiba ili kufuta mfumo wa vyama vingi na kubaki na ccm pekee. Tuache unafiki wadau. Options ni...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Deusdedith Soka ametoa wito kwa vijana wote Tanzania kuungana katika kupinga vitendo vya utekaji vinavyoendelea

    Agosti 5, 2024 - Mwanaharakati Deusdedith Soka, akizungumza kwa niaba ya vijana wa CHADEMA, ameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana nchini Tanzania. Katika mkutano na waandishi wa habari, Soka ameonesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa ajira kwa vijana, akisema kwamba licha ya vijana...
Back
Top Bottom