viongozi wa vyama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Bwege: Katiba, Falsafa ya vyama vyote zipo vizuri ila shida ni viongozi wa vyama wanapenda kusikilizwa wao

    Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara "Bwege kupitia ACT Wazalendo ameweka wazi kuondoka kwake kwenye chama hicho na kuhamia CHADEMA akisema viongozi wanashindwa kufuata Katiba na falsafa iliyopo Soma Pia: Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA Bwege alikihama ACT Wazalendo siku chache...
  2. U

    Ndugu mdau hebu Taja bila hofu mambo ambayo ni ya uongo yakisemwa na viongozi wa vyama vya siasa nje ya CCM

    Ni kwamba vyama vya siasa vyaendeshwa na binadamu kama CCM Hivyo kama CCM ni waoongo. kwa ubinadamu wao basi na wenzao ni binadamu huwa wakati mwingine husema urongo. Sasa sema hayo mambo ya uongo ambayo ukiamini kwamba ni ya kweli wakati huo
  3. U

    Ndugu zangu watanzania kwa tabia na mienendo ya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa leo nimejua kwanini CCM ilijenga vyuo vyake vya Uongozi

    A political leader who behave like anybody that is not a political leader Lack of emotional intelligence and failure to build relationships! Niwatakie mchana usiku mwema
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Kailima: Viongozi wa Vyama tumieni ushawishi wenu kuwahamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha

    Mkurugenzi wa Uchaguzi (Katibu wa Tume) wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima katika mahojiano na CG FM Radio amewataka viongozi wa vyama vya siasa kuwashawishi wananchi kujitokeza kujiandikisha katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili lililoanza...
  5. W

    PreGE2025 Eveline Munisi: Viongozi wa vyama vya siasa tulinde amani

    Nianze kwa kupongeza TLS kwa kutuandalia hili kongamano ambalo binafsi limenifungua mambo mengi kuhusiana na sheria ya uchaguzi, na yaliyopo ndani ya Katiba kwa ujumla. Suala wa wasimamizi lilikuwa shida sana pale awali kwa sababu kila kitu kwenye uchaguzi ni serikali inasimama. Lakini kwenye...
  6. B

    Viongozi wa vyama vya wafanyakazi mjitathimini

    Inaskitisha km siyo kuhuzunisha, kuona kiongozi anaeongoza kundi kubwa la wasomi tena wengine waliomzidi umri na elimu kuongea mbele za watu km muwindaji wa porini alieamua maisha yake ayamalizie kukimbizana na wanyama au ndege. Siku ya MAY MOSI ni siku ya wafanyakazi kueleza mbele ya kiongozi...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Alex Msama atangaza Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu, litafanyika Aprili 20, 2025

    Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea uchaguzi mkuu 2025, Alex Msama leo ameongea na wandishi wa habari kuwa Maandalizi ya Tamasha la kuombea uchaguzi yanaendelea vizuri na kuwa Tamasha hilo lipo na litafanyika Tarehe 20, Aprili 2025 katika jiji la Dar es Salaam na baadae...
  8. Tlaatlaah

    Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

    Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025...
  9. Just Pray

    PreGE2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi: viongozi wa vyama vya siasa msiingilie majukumu ya watendaji wakati wa uandikishaji wa wapiga kura

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewasihi viongozi wa vyama vya siasa kutoingilia utekelezaji wa majukumu ya watendaji wa vituo wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. Angalizo hilo limetolewa mjini Kibaha na Kaimu Mkurugenzi wa tume hiyo, Mtibora Seleman, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Sipendezwi na tabia ya Baadhi ya Wafuasi na viongozi wa CHADEMA kuita viongozi wa vyama vingine Majina ya Matusi, kejeli na dhihaka

    SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo...
Back
Top Bottom