viongozi wa africa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Kwanini viongozi wa Afrika hawatumii KQ kwenda UN

    Nahangaika kuangalia safari za Marais wa Afrika wanaokwenda kwenye kikao cha UN sioni wakitumia usafiri wa Kenya Airways wakati ndio usafiri pekee wakutoka Afrika yadi Marekani moja kwa moja. Kuna shida gani kuwaunga mkono QK na kuonyesha mshikamano wa kiuchumi wa waafrika
  2. The Sheriff

    Je, kung'ang'ania hatamu za uongozi ni kusaliti dhana ya Umajumui wa Afrika?

    Habari wanaJF, Nina jambo nataka tuzungumze kidogo. Katika bara letu la Afrika kumekuwa na kasumba ya viongozi kung'ang'ania madaraka aidha kwa kubadili katiba (constitutional coups), ama kwa mabavu tu. Hata hivyo, wengi wa hao wanaoabudu vitendo hivyo ni walewale wanaotuaminisha kuheshimu na...
Back
Top Bottom