Nahangaika kuangalia safari za Marais wa Afrika wanaokwenda kwenye kikao cha UN sioni wakitumia usafiri wa Kenya Airways wakati ndio usafiri pekee wakutoka Afrika yadi Marekani moja kwa moja.
Kuna shida gani kuwaunga mkono QK na kuonyesha mshikamano wa kiuchumi wa waafrika
Habari wanaJF,
Nina jambo nataka tuzungumze kidogo. Katika bara letu la Afrika kumekuwa na kasumba ya viongozi kung'ang'ania madaraka aidha kwa kubadili katiba (constitutional coups), ama kwa mabavu tu.
Hata hivyo, wengi wa hao wanaoabudu vitendo hivyo ni walewale wanaotuaminisha kuheshimu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.