viongozi vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    Viongozi Vijana, Msiharibu Kesho yenu kwa kutetea awamu hii ya wazee ambayo haitakuwepo miaka 6 mbele

    Salaam Wakuu, Mifereji ya damu za binadamu inayoelekea Kizimkazi.. Kila mtu kaiona Kila Mtanzania anayo haki ya kuchagua chama. Hata kuwa CCM sio tatizo. Ila tatizo linaanza pale kija chini ya Miaka 40 anajitoa ufahamu na kusaliti Vijana wenzie, ndugu zake taifa lake kisa awamu hii ya Wazee...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 MNEC Ndele Mwaselela: Rais Samia ameendelea kuleta na kukuza vipaji vya viongozi vijana ndani ya Chama na Serikali

    Mjumbe wa Halmashauri kuu Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mbeya Ndele Mwaselela amesema Rais wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuleta na kukuza vipaji vya viongozi vijana ndani ya Chama na Serikali. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  3. Pdidy

    Hawa wazee wanaojirudia madarakani tumekosa mbadala kweli?

    Habari wananjamvi, Sidhan wnavijana waliosoma wanafurahia kuona haya. YAAN KUNA wakati unawaza inasoma ili iwe nn? Unapambana kuwa mwanasiasa ili uwe nani Na hii n kutokana na muendelezo wakuona baadhi ya wazee wakiwa wanaopishana tu pale juu Leo kaingia huku mwingine kule Siku unahisi...
  4. cutelove

    LGE2024 Rais Samia, vijana tunataka tuwe viongozi, tunaomba sheria ya mgombea binafsi ili tupate nafasi kwenye vyama vya siasa, ni ngumu vijana kupenya

    Tunapoelekea uchaguzi wa 2025 nakuomba mama Samia na Serikali yako itunge sheria na kubadili katiba ya kuruhusu mgombea binafsi ili vijana tusio na maokoto tupate nafasi ya kugombea udiwani, ubunge na Urais. Kwa hali ilivyo kwenye vyama vya siasa ni ngumu sana kupenya kwa sababu ya wajumbe...
  5. K

    Barua kwa viongozi vijana. Badala ya kuiga watangulizi badilisheni mfumo

    Ndugu zangu viongozi na viongozi watarajiwa, Hii nchi yetu pedwa haitabadilishwa na viongozi wa sasa ambao wamefundishwa kufanya kila wafanyanalo kuhudumia viongozi wenzao badala ya kuhudumia taifa. Viongozi ambao wanafikiria watapata vipi pesa kutokana na kodi na rushwa. Viongozi ambao...
Back
Top Bottom