Wazee kwema,
Ni kwa namna gani hasa hawa polisi wanaajiriwa na hizo interview zao zinakuaje?.
Juzi nimeenda kumtembelea mzee wangu flani hiv akiwah kuwA kiongozi nchini. Pale getini nimekutana na polisi viaz sana na mbaya zaidi wameletewa pilau wale mama ya nchi.
Katika mabishani mawili matatu...