Kama sio Vigogo , basi wake zao , kama Si wake zao basi ni Chawa, kama Si Chawa basi ni CCM
haiwezekan ndan ya mwez, V8 2 zikamatwe , Moja ikiwa na bendera ya CCM ,Leo hii ni STL.
Siamin kama CCM imefikia hapa, nachoamin CCM imevamiwa na Majizi!!.
Nimalizie kwakusema, Wakati wa JPM hayakuwepo...