Yaani kigae kimoja 40,000? Kwamba nikihitaji vigae 2,000 nalipa almost 80,000,000?! Nilitaka nimshauri huyu jamaa aagize China ila nikaona kwanini aende mbali.
Mwenye kufahamu Zanzibar bei ya kigae cha bati sand coated bei gani.
WEKA TILES KISASA NA KWA UBORA WA HALI YA JUU!
Tunatoa huduma za kuweka tiles za kisasa kwa nyumba, ofisi, migahawa na maeneo mengine yote.
Tuna uzoefu, kasi, na tunazingatia ubora!
Bei ni rafiki kwa mteja—huduma ni ya kitaalamu!
Piga:0683336444
WhatsApp: 0784075326
Dar es salaam
Huduma bora...
Naomba kuuliza:
Hizi rasilimali zote za milima na mawe je tunapondea tu kokoto? Au kuna kiwanda kinatengeneza bidhaa kama hizi.
Tungeweza kutumia fursa kutengenezea fanicha imara sana.
Mambo ya meza za jikoni, vigae na vitu luxury vinavyoweza kuchongwa toka katika mawe mojakwamoja, je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.