Watu zaidi ya 1,000 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kulingana na takwimu rasmi.
Hali hii inatokea huku wahudumu wa afya wakipambana vikali kudhibiti mlipuko huo katikati ya machafuko ya kundi la wanamgambo, mashambulizi dhidi ya...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa watu 31 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Spetmeba 2025. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, akizungumza jana Septemba 18, 2025 mjini Geneva alitoa taarifa kuwa kuna jumla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.