The vanguard (also called the advance guard) is the leading part of an advancing military formation. It has a number of functions, including seeking out the enemy and securing ground in advance of the main force.
💫N E W A R R I V A L
Bei/Price🏷️👉🏽TSH 45M
Call📞+255 747 999 927
TOYOTA VANGUARD
Year: 2012
Engine: 2,360Cc
Mileage: 81,000+
Transmission: AUTO
✨Fog Lights
✨Rear Spoiler
✨Leather Seats
✅100% Duty Paid
✅Free Registration
✅Swap Deals Allowed
Katika karne hii ya 21, vita vya kiuchumi havipigwi tena kwa silaha wala bunduki, bali kwa mitaji, hisa, na ushawishi wa kifedha. Katika anga hiyo, kuna mapacha mawili waliojitokeza kwa nguvu ya ajabu: Vanguard Group na BlackRock Inc.
Haya si makampuni ya kawaida – ni taasisi za usimamizi wa...
Habari za mida wakubwa..
Samahani naomba endapo Kuna mtu anauza hzi gari apo tuwasliane nahitaji...location arusha.
Kama utakua nayo naomba tuwasliane PM ukiwa na picha plus bei yako.
Asanteni.
Bei/Price TSH 31.8M
Call 0747 999 927
TOYOTA VANGUARD
Year: 2010
Engine: 2360Cc
Mileage: 79,000+
Transmission: AUTO
Sport Rims
Back Camera
Push To Start
Android Radio
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
TOYOTA VANGUARD
YEAR 2011💦
ENGINE CAPACITY Cc: 2360
MILEAGE: 82496 ENGINE CODE: 2AZ
FUEL PETROL
STANDARD FEATURES
FULL OPTION✅ CODE:2AZ
FUEL PETROL 🛢️PRICE:28M
CONTACTS:+255754459647
Naombeni msaada mwenye uzoefu au ufahamu wa hayo magari matatu lipi ni bora katika vipengele vya
1. Utumiaji mafuta
2. uimara
3. Speed
4. Kupatikana vipuri
5. Ukisasa zaidi
6. Mwonekano mzuri.
7. Bei zake sokoni
Zote zikiwa za mwaka unaofanana au kutofautiana kidogo tu.
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016.
Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu.
Gari zote hizi hapa chini.
Gari ni yangu mwenyewe
Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000
Leather seat Safar automotive
New tyres
Km 79,000 - OG
Gari haina kasoro yoyote
Bei 31m
Call/watsap 0715140001
Kama nilivyowaomba ushauri kwenye post yangu ya 8/1/2021 nikitakiwa kuchagua kati ya gari tajwa hapo juu na kampuni moja ya ujenzi kama fidia ya deni nililowadai kwa muda mrefu bila malipo.
Nawashukuru sana wana Jf na members wa forum hii kwa ujumla kwa mchango wenu wa ushauri , maoni na mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.