utumwa wa akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Waumini wakiislam na kikristo wa Kiafrika wote ni watumwa wa fikira za warabu na wazungu kupitia Biblia na Quran

    Hili ni kweli na ni wazi iwapo Mwafrika bado anaamini udongo, maji, mawe, vitabu, mostarihadithi, nk kuwa ni kwaajili yao huu ni utumwa wa kifikra uliopitiliza. Katika vitabu vyote hakuna sehemu hata moja kumeshushwa hadithi au barua/waraka kwaajili ya Waafrika lakini bado wanakumbatia ujinga...
  2. Last_Joker

    Vijana wa Siku Hizi na Nguvu ya Mtandao: Tunajenga au Tunabomoa?

    Siku hizi, mtu akisema hana social media tunamshangaa kama kiumbe cha ajabu. Kila kitu kipo mtandaoni—kuanzia meme, trending stories, biashara, hadi mahusiano. Ila swali linabaki: Vijana tunatumia nguvu hii kujenga maisha yetu au tunajiharibia? 🤔 Nguvu ya Mtandao: Fursa au Burudani Tu? Kuna...
  3. President of China

    Somo la Kujitambua: Mara nyingi watu hupigana na kuuana kwa mambo ya kufikirika (People often fight and kill each other over imaginary things)

    MAMBO YA KUFIKRIKA YALIYOPO DUNIANI NI YAPI? Kuna mambo mengi sana ya kufikirika yameundwa na kupewa uhai ambayo yanaleta ugomvi mwingi kwa watu hapa duniani. Katika masomo yangu haya niliyoyaanzisha ya kujitambua, kuna watu watajifunza na kufunguliwa nafsi zao na kuwa huru. Baadhi ya mambo ya...
  4. Alloyce PR

    Masuala fikirishi katika bara la Afrika

    "TUNAONA TAABU SANA KUUNGANA KUMKABILI MWENYE NGUVU. WENYE NGUVU WANAUNGANA KUMKABILI MNYONGE," Mwl. Nyerere Kama ningekuwepo wakati wa Mwalimu Nyerere, ningemuuliza swali hili: Ni rahisi kwa kiasi gani kwa Mwafrika kumwamini Mwafrika mwenzake katika dola, ili waweze kuungana? Kwa sababu...
  5. F

    Utumwa wa akili au nini?

    Huu mchoro kwy ukuta wa Shule ya Upili ya Ben Mkapa una maana gani, muktadha gani na mantiki gani kwa ustaarabu wa zama hizi. Je, siyo dhalili kwa utu wa binadamu hususan weusi? Angepiga mzungu picha kwenda kuanika kwao kuonyesha jinsi tusivyofaa sote tungempigia makofi lakini nikipiga mimi...
Back
Top Bottom