utalii zanzibar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Zanzibar na utalii inapitia wakati mgumu. Tuiombee Trump asiendelee kuchochea vita

    Mahoteli ni matupuuu,hata zile budget hostels. Utalii unayoyoma kwa kasi aisee. Uchumi wa Zanzibar ni utalii naa utalii wa Zanzibar umeshambuliwa na Serikali na global instability especially middle east. Ndege zote za watalii wanokuja Zanzibar chanzo kikubwa ni middle east. Ukijumlisha na...
  2. Waufukweni

    Kamisheni ya Utalii Zanzibar: Nguo fupi marufuku kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Kamisheni ya Utalii Zanzibar imewataka Watalii, Wafanyabiashara na Wadau wa utalii Zanzibar kuheshimu maadili ya Dini na Utamaduni uliopo Zanzibar kipindi hiki cha kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani. Kamisheni imesema ni lazima Migahawa na sehemu za chakula zilizo nje ya Hoteli zifungwe hadi...
  3. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Sera ya CCM ni kuinua vijana kupitia sekta ya utalii Zanzibar

  4. Mindyou

    Shirika la ndege la Ufaransa (Air France) limetangaza kusitisha safari zake za moja kwa moja kwenda Zanzibar ifikapo 2025

    Air France imetangaza kusitisha kwa muda safari zake za moja kwa moja kati kutokea Paris kwenda Zanzibar kuanzia Machi 22 hadi Mei 25, 2025. Taarifa hii inakuja katika kipindi ambacho wageni kutoka Ufaransa Ufaransa pekee kwenda Zanzibar wamechangia asilimia 10 ya jumla ya wageni waliowasili...
  5. M

    Chelsea lkutangaza utalii Zanzibar

    Klabu ya soka ya Chelsea inayoshiriki michuano ya ligi kuu ya Uiengereza imechukua jukumu la kukuza utalii wa zanzibar ambapo mabingwa hao wa ligi kuu ya uingereza wanatarajiwa kuanzisha shule ya kuibua vipaji visiwani hapo . Hayo yamebainishwa katika kikao kati ya rais wa Zanzibar Hussein...
  6. USSR

    Klabu ya Chelsea kuitangaza Zanzibar kiutalii

    Klabu ya Chelsea itavaa jersey yenye ujumbe wa visit Zanzibar kwa msimu huu huku Tanganyika ikiwekwa kando kama mtoto asiye na wazazi. Kwa sasa kila jambo linakimbizwa Zanzibar hasa kimataifa ili Zanzibar ifahamike zaidi. USSR.
Back
Top Bottom