ushauri kwa wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Faana

    Picha: Ushauri kwa wanaume toka kwa mwanamke

    Wapenzi Wanaume, Hakuna aibu kusema, "Babe, siwezi kumudu hicho kitu." Usiende kukopa au kuwa na madeni ili kumfanya mwanamke afurahi, hawatakujali. ishi maisha yako kwa uwezo wako, vinginevyo utakufa mapema kwa sababu ya mfadhaiko. Na kabla hujafa, mkeo au mchumba wako atakuwa amekuwa na...
  2. Sir John Deere

    Ushauri kwa wanaume wenzangu ukiwa na Hela Yako usijinyime kula vizuri na kujijali kisa familia, utakuja kujuta

    Kwanza niseme tu sijakataza msizijali familia zenu. Lakini nawashauri jijali kwanza mwenyewe maana familia Haina shukrani kuanzia huyo mke wako na watoto wako wote. Usidhani watakuja kukuona wa maana sana kwa sababu ulikuwa unajinyima kwaajili Yao. Mahitaji ya msingi wapatie lakini usizidishe...
  3. Majighu2015

    Ushauri kwa wanaume wenzangu

    Tunatakiwa kutambua kuwa viumbe KE hata wafanyiwe kitu gani hawaridhiki. Jambo la kufanya ni ku-focus na maisha yako, jipende, kula bata, jali watoto wako (kama unao). Wanaume tunakufa mapema kutokana na stress za wake zetu, kelele nyingi, kuchapiwa n.k Ili tuishi maisha marefu tu-focus na...
  4. F

    Mwanaume soma hapa kwanza

    MWANAUME SOMA HAPA KWANZA 1. Starehe ya dakika 3 isikuharibie mfumo wa maisha yako mazima 2. Achana kabisa michezo ya kufirana 3. Punguza kujipiga nyeto na kuangalia video za ngono Hapa wengi najua mnapenda sana ila hii kitu si nzuri kwa afya ya akili yako na dudu yako 4. Kama...
Back
Top Bottom