Kwa mujibu wa Mfumo Salama wa Usalama Barabarani (Safe system approach), kunapotokea ajali barabarani, maana yake kuna sehemu kwenye mfumo wa usalama barabarani ni dhaifu na hivyo pamefeli. Kufeli huko husababisha madhara mbalimbali ikiwemo ajali yenyewe, vifo, majeruhi, na uharibifu wa mali...