Tumepata beki msauzi lkn hatuna uhakika kama atazima kweli isije ikawa kam yule beki mwili jumba kutoka Sudan akawa anachekesha tu.
Mabeki Chamou na Hamza tulikuwa nao msimu uliopita, wana mapungufu mengi mnoooo.
Hamza hana mbio halaf wakat timu inashambuliwa yeye anatembea
Hamza akiona...
Beberu la kihaya ni mjanja sana.
Kaomba tenda ya bilion 5.6 kwa mwaka, Yeye kaiuza tenda kwa third party ambaye ni DIADORA (kampuni ya vifaa vya michezo kutoka Italy) kwa bilion 7.9 kwa mwaka.
Wakati huo huo ako na kamisheni yake kwsnye kil jezi inayouzwa.(Kamisheni approxmatly USD 2 per...
Hakika hii timu sasa itakuwa kama Namungo.
Huwezi kutengeneza kamati ya usajili ya kipuuzi kabisa na mtu wa hovyo mali ya utopolo ngungu boy akiwemo.
Kamati hii huenda ndiyo inayokwamisha upatikanaji wa wachezaji bora na wanaishia kwa wapinzani.
Huwezi kusajili kwa vikao kama kamati za kugawa...
Tayari mapicha picha yameanza huko mitaa ya ubwelani.
Muunganiko hauonekani huku baadhi ya mambwela wake waki a mini ubwela utachanganyia mwendo katikati ya mashindano ya ligi.
Wakati wakiwa wana tafuta muunganiko ambao haujulikani utapatikana lini watajikuta pacha mwenzake kamuacha mbali...
Ushirikina ndio njia pekee inayotumiwa na Utopolo kufifisha nyota za wachezaj wa wekundu, huko kwa mwarabu Misri ndio mahali pake kusoma albadiri na dua nzito ya kafara.
Wachezaji wenu walindwe dhidi ya ushirikina na ule uwanja wa Bunju umefukiwa vitu vya ajabu, mkiacha mmekwisha.
Simba inafanya mambo kienyeji, Ushawahi ona wapi timu ina sajili wachezaji zaidi ya wa 5 pasipokuwa na Kocha mkuu nina mashaka na perfomance yao msimu ujao"
Alex Ngereza Mchambuzi wa soka Tv3.
Mnatuambia Simba mpya inakuja, mnawaimbisha watu kuwa safari ijayo mnyama atakuwa hashikiki, ukiangalia yanayoendelea kwenye App ni Mzamiru, Kapombe, Israel, bado Tshabalala, Kaze, Duchu, kudadeki.Hakuna jipya hapo.
Msimu ujao ni maumivu makali zaidi ya haya ya msimu huu.Rest in Peace mzee wa...
Kabla ya kukurupuka kusajili wachezi, Simba wahakikishe wana safu bora ya uongozi na technical bench lenye ubora wa hali juu. Baada ya hapo ndipo hilo benchi bora la ufundi lifanye kazi ya kusajili wachezaji wenye ubora na wala sio sajili za kufurahisha mashabiki.
Simba wasipozingatia hili...
Kwanini usajili wa Simba HAUAMINIKI? Simba wanaweza kusajili wachezaji 7 lakini atakayeonesha kiwango Ni mmoja au hakuna hivi Hawa jamaa wanatumia mfumo gani kupata wachezaji?
Simba kjikite kwenye usajili wa ndani Kama walivyopatikana kina Mohamedi ibrahimu, kichuya, Mzamiru, n.k
Usajili ujao...
Ukweli usemwe tu katika sajili zilizofanyika simba msimu huu Fred Koublan ni usajili mbovu zaidi, ukimuangalia uwezo wake uwanjani ukitoa uwezo wake wa kucheza rafu za ovyo na kupiga maboko anabaki mtupu.
Kipindi cha usajili nilionya simba tabia ya kwenda kuchukua wachezaji kwenye ligi nyepesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.