uraibu wa soda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Dkt. Anthony Gyunda: Hata soda zinaweza kukupa uraibu, ni hatari Kiafya na zinaweza kusababisha Kisukari

    Mdau wa JamiiForums alitaka ushauri kuhusu tabia yake ya kunywa soda mara nne kwa siku, ambapo anaona si hali ya kawaida na alitaka kujua jinsi anavyoweza kuacha matumizi hayo ya soda. Soma zaidi: Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha? Kutokana na hilo, tumempata...
  2. M

    KERO Responded Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

    Habarini za mchana, Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi. Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tupeane mbinu za kuweza kujidhibiti na uraibu wa soda

    Watu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga...
Back
Top Bottom