umuhimu wa amani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kimbesa11

    PostGE2025 Taasisi za Dini, mashirika ya serikali/yasiyo ya serikali na makampuni yote kemeeni na kuonya juu ya majaribio ya uvunjivu wa amani nchini

    Habari za leo ndugu zangu Watanzania. Husika na mada tajwa hapo juu nimekuja mbele yenu kutoa ushauri wangu ili kuimarisha AMANI nchini mwetu. Hivyo basi nashauri Taasisi na makampuni yote nchini kuhubiri AMANI na kuonya dhidi ya vitendo vyovyote vitakavuohatarisha ustawi wetu, tuongee na...
  2. Mafyangula

    GE2025 Viongozi wa Dini na Wananchi Dodoma wasisitiza umuhimu wa Amani kwa Maendeleo ya Taifa

    Kuelekea kwenye Zoezi la uchaguzi Mkuu wa Tanzania Jumatano ya Oktoba 29, 2025, Viongozi wa dini, kijamii pamoja na wananchi wa Mkoa wa Dodoma wameungana pamoja kuhimiza amani, wakiitaja kama rasilimali muhimu kwa maendeleo ya Kijamii, kiuchumi, Viongozi wa dini wakisema amani ndiyo Neema muhimu...
  3. Kabende Msakila

    Dira ya 2050: Rostam Azizi asisitiza umuhimu wa amani na utulivu kuwa ndiyo msingi wa maendeleo

    Team Kanukuu mambo mengi Amani ya nchi Usalama wa nchi Kuwekeza ktk raslimali watu Sekta ya viwanda kupewa kipaumbele Utekelezaji wa mipango badala ya kubaki na makablasha ya mipango makabatini Utulivu wa kisiasa Kandarasi za ndani kupewa kazi badala ya kuzigawa kwa wakandarasi wa nje Kasema...
  4. ndege JOHN

    Katika maisha kikubwa amani

    Amani ni kitu kimoja kizuri sana. Nchi yetu ina amani kiujumla. Aman na upendo tunajivunia ukivuruga amani ya nchi yetu fasta tunakupinga Bongo lazima ukikubali kwenye ulinzi.
Back
Top Bottom