Angalizo muhimu:
Huu uzi ni kwa ajili ya kupata taarifa na hauhusiani na uvunjifu wowote wa sheria za nchi.
Kama hii topic inakuzidi uelewa au huna jibu la swali lolote nililouliza hapo chini, si lazima uchangie (nipo serious kidogo, mazoea tuyaweke pembeni).
Maswali:
Naomba kujua, ni zipi...
Utekaji ni kitendo cha uwezo mkubwa maana kinatumika na silahaa za moto ili kukabiliana na endapo kutatokea ubishani kati ya muhusika au wananchi kwenye tukio.
Ila cha kushangaza watekaji waliopo hapa tanzania ndio wenye matumizi ya vifaa hivyo ukilinganisha si rahisi nchi kukupa silahaa hiyo...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Kwa waliopo marekani mkuje mtujuze haya.
1. Matumizi ya Silaha huko majuu yakoje kwasababu tunasikia Sana watu wanagongana Sana risasi Hadi sio poa yaani.
2. Je, ni halali kabisa kumiliki Silaha uko YUES
3.Tupeni majimbo ambayo wadau wanagongana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.