Hivi karibuni hapa JF tulijadili sababu za Dangote kuhamishia ujenzi wa Refinery toka Tanga kwenda Mombasa. Tunajua sababu kwa nini Dangote alifanya hivi - kwamba ilikuwa hasira ya raisi Samia kuwashoboa yeye, Museveni na Ruto hadharani akidai walifanya uamuzi bila kumshirikisha.
Lakini ni wazi...
CCM mtandao waonyesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga.
CCM mtandao kwa mara nyingine tena wameonyesha nani hasa ni adui wa maendeleo ya nchi ya Tanzania baada ya kupinga mradi wa billionea Aliko Dangote wa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta takribani mapipa 650, 000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.