Wachina ni wachapakazi sana, wabahili sana, wambea sana, wanapenda sana sigara lakini pia ni wezi sana.
Ukipata kazi kwa wachina ujue utafanya kazi kweli kweli, iwe ni kiwandani, barabarani au popote pale. Kuna siku nilikuwa na boss wangu tukawa tunatafuta sehemu ya kuweka machine za dubwi...