uefa

The Union of European Football Associations (UEFA; yoo-AY-fə; French: Union des associations européennes de football; German: Union der europäischen Fußballverbände) is the administrative body for football, futsal and beach soccer in Europe. It is one of six continental confederations of world football's governing body FIFA. UEFA consists of 55 national association members.
UEFA represents the national football associations of Europe, runs nation and club competitions including the UEFA European Championship, UEFA Nations League, UEFA Champions League, UEFA Europa League, planned UEFA Europa Conference League, and UEFA Super Cup, and controls the prize money, regulations, and media rights to those competitions.
Henri Delaunay was the first general secretary and Ebbe Schwartz the first president. The current president is Aleksander Čeferin, a former Football Association of Slovenia president, who was elected as UEFA's seventh president at the 12th Extraordinary UEFA Congress in Athens in September 2016, and automatically became a vice-president of the world body FIFA.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Real Madrid kukutana na Manchester City, huku PSG wapangwa na Chelsea FC hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Timu vigogo barani Ulaya Arsenal, Real Madrid na Liverpool ni miongoni mwa klabu zilizojua hatima yao baada ya droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kupangwa Ijumaa. Real Madrid watakutana tena na Manchester City katika hatua ya mtoano kwa msimu wa tano mfululizo, baada ya kupangwa...
  2. M

    Nahitaji kufahamishwa vifurushi vya DSTV vilivyo na mechi za UEFA

    Kuishi vijijini tabu yake ndio hii sasa Unanunua king'amzi cha Dstv na hujuwi vifurushi vyake huwa vina bei gani Naomba kufahamishwa ndugu wapenda michezo Kwa sasa ni bei gani ili niangalime timu yangu ya PSG wiki ijayo?
  3. Influenza

    UEFA 2025/26: Chelsea kuvaana na Barca, Bayern, Napoli! Arsenal kukutana na Bayern, Inter. Spurs yapewa PSG, Dortmund

    Ligi ya Mabingwa Ulaya ya msimu wa 2025–26 imekuwa ikiendelea kimyakimya tangu mwanzo wa Julai, wakati raundi ya kwanza ya mechi za mchujo ilipoanza. Jumla ya timu 53 zimehusika katika mchakato huu, 42 kati yao kupitia Njia ya Mabingwa na timu 11 kupitia Njia ya Ligi zikiwa zinawania nafasi...
  4. immortanity

    Special Thread | UEFA Champions league, 2025/2026

    Huu utakuwa uzi maalumu kwa ajili ya mashindano ya mabingwa ulaya (UEFA) updates zote
  5. Red black

    UEFA Nations League Fainali : Portugal Vs Spain l Allianz arena stadium l 8/6/2025 l 22:00pm

    Hii game⚽ ni ya moto sana usipange kuikosa. huku Yamal kule Ronald. Lineups _ Portugal substitutes N.semendo,A.silva,D.dalot,J.palhinha,G.ramos,D.jota,R.neves,J.felix....nk Manager : R.martinez Spain lineups, Substitutes; David raya,P.porro,D.vivian,Gavi,Isco,A.morata,P.cubarsi...nk...
  6. Premierleague

    Kwa wapenda mpira kipindi mnangoja bonanza la trh 15 uefa wanakupa bidhaa Bora kabisa kesho

    Mpira ulizaliwa ulaya na umeendelea kutunzwa na kuhifadhiwa na wazungu wenyewe huku wakiangalia vituko na maigizo kutoka pande zingine za dunia Hapo kesho Portugal ya Ronaldo itataka kumpa heshima huyu mwamba wa soka pale watakapopambana na Spain iliyo mabegani kwa kijana mdogo Lamin Yamal...
  7. Manepesa

    Mchezo wa fainali UEFA, tiketi Moja ni Milioni 14 za kitanzania, bei ya chini kabisa, ila bongo elfu 5 tu mnalialia.

    Nawaza ingekua ndio derby ya bongo imeahirishwa na tiketi Moja ni 14,000,000, si kungezuka vita nchini? 😂 Habari zingesambaa duniani kote , watu wauana baada ya derby kuahirishwa, bodi ya ligi yakimbis kusikojulikana😂, Mzee Mguto na President Karia wafichwa ikulu kuepusha shari 😂😂😂😂 Anyway kila...
  8. Hujaza Kibaba

    Usiyoyajua kuhusu UEFA Champions League

    𝑯𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝑭𝒖𝒑𝒊 𝑲𝒖𝒉𝒖𝒔𝒖 𝑼𝒆𝒇𝒂 𝑪𝒉𝒂𝒎𝒑𝒊𝒐𝒏𝒔 𝑳𝒆𝒂𝒈𝒖𝒆 📝𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐣𝐚𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐌𝐨𝐥𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐛𝐚𝐤𝐢 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐜𝐡𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐩𝐨 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐬𝐡𝐮𝐡𝐮𝐝𝐢𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐧𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐔𝐞𝐟𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐩𝐢𝐨𝐧𝐬 𝐋𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐏𝐚𝐫𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐢𝐧𝐭 𝐆𝐞𝐫𝐦𝐚𝐢𝐧 𝐝𝐡𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐧𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧𝐚𝐥 𝐌i𝐥𝐚𝐧𝐨. 𝐁𝐚𝐬𝐢 𝐭𝐮𝐤𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐧𝐢 𝐣𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐚𝐮𝐥𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐦𝐳𝐢𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐚𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐜𝐡𝐚𝐜𝐡𝐞 𝐡𝐢𝐬𝐭𝐨𝐫𝐢𝐚 𝐲𝐚 𝐔𝐞𝐟𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐦𝐩𝐢𝐨𝐧𝐬...
  9. ELI COHEN

    Azam akipata leseni ya kuonesha EPL na UEFA, hawa DSTV kwisha habari yao

    Itawavutia wengi kwa maana atapata package ya michezo ya nyumbani na ligi maarufu za epl na uefa. Dstv impoteza ubora alafu bado ni very expensive, haijalishi hata ukiweka kifurushi cha juu, utaambulia vitu vya ajabu, muvi za kujirudia rudia, angalau hata hii mbc ya azam unapata muvi za awali...
  10. monta

    UEFA Nations League Quarter Final 20/3/2025

    Muda mchache kutoka sasa Saa 4 dakika 45 za usiku kutakua na mechi 4 za Robo Fainal michuano ya Uefa Nations LEAGUE, updates zote utazipata hapa.. Binafsi naangalia mechi ya Netherlands vs Spain. Utatu wa Reijnders kutoka Milan,De Jong kutoka Barca na Kluivert kutoka Bournemouth dhidi ya Ruis...
  11. Chick_tz

    Nimegundua EPL ni ushindani wa ndan huku UEFA Kuna watu wake

    Hii ni baada ya Liverpool kufungwa na PSG kutoka league 1 je liver wangekutana na BARCA ingekuaje
  12. Scared

    Arsenal ni bingwa wa UEFA msimu huu

    Najua Kuna vitimu vidogo vinahangaika kutaka kubeba UEFA ila napenda kuwatangazia kwamba Ile timu ya makombe inaenda kulinyakua hili kombe mwaka huu na timu hiyo ni arsenal the gunner watoto wa mjini
  13. Scared

    Nisije kufa bila kuiona Uefa rasmi nimeongeza timu ya kushabikia ambayo ni Liverpool Sasa nitashabikia Arsenal na Liverpool

    Mwaka huu Liverpool inaenda kubeba UEFA nimeona kwanini na Mimi nisifurahie hii UEFA maana Kuna dalili za kufa kabla ya arsenal haijabeba uefa sababu timu yangu ya arsenal ni maumivu Kila mwaka rasmi nimeongeza timu ya kushangilia na sababu iliyonifanya niongeze ni rangi na uchezaji wake povu...
  14. FK21

    WASHINDI WAJAO WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

    Jamani hii ni FOOTBALL BALL , easy tu man
  15. Scared

    Arsenal lini tutabeba UEFA Champions league?

    Katika maswali ambayo natesekaga nayo nikiwa nacheki game mashabiki wenzangu wananiuliza ninaUEFA ngapi aisee huwa naishia kutukana tu. Hivi hii timu yangu itabeba kweli UEFA maana najiona nikifa ikiwa bado haijabeba aisee The Gunner wenzangu tatizo ni Nini maana ya timu kubwa na UEFA hatuna
  16. Greatest Of All Time

    Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

    Leo saa 4:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na pambano la Uefa Super Cup katika dimba la taifa la Poland. Bingwa wa Uefa Champions League atamenyana na bingwa wa Uefa Europa League. Real Madrid Vs Atalanta Dunia inaenda kumshuhudia Mbappe kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya...
  17. Dr Restart

    UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano haya ya kusisimua, yanayofanyika mara moja kila baada ya miaka minne, yataanza kutimua vumbi Ijumaa...
  18. JanguKamaJangu

    Ratiba ya Hatua ya 16 Bora UEFA Euro 2024

    Hatua ya 16 Bora UEFA Euro 2024 Juni 29, 2024 Switzerland Vs Italia (1:00 Usiku) Germany Vs Denmark (4:00 Usiku) Juni 30, 2024 England Vs Slovakia (1:00 Usiku) Uhispania Vs Georgia (4:00 Usiku) Julai 1, 2024 Ufaransa Vs Belgium (1:00 Usiku) Ureno Vs Slovenia (4:00 Usiku) Julai 2...
  19. G

    Fainali 6 ubingwa mara 5 uefa, Carlo Ancelloti anachukuliwa poa sana + underrated, hapati heshima anayostahili

    DON CARLO ANCELOTTI
  20. Greatest Of All Time

    FT: Borussia Dortmund 0 - 2 Real Madrid | Uefa Champions League Final | Wembley Stadium | 01.06.2024

    Muda mchache ujao, saa 4:00 Dortumd watamenyana na Real Madrid katika dimba la Wembley pale London. Ni fainal ya Uefa Champions League, karata yako unampa nani? Twende kazi…
Back
Top Bottom