uchimbaji wa dhahabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    Mgodi wa dhahabu Geita kuwalipa fidia wananchi kupisha uchimbaji

    Serikali imetangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa ulipaji fidia kwa wananchi wa mitaa ya Nyakabale na Nyamalembo katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita, ili kupisha shughuli za uchimbaji wa dhahabu katika Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML). Hatua inayoleta suluhu ya mgogoro wa ardhi...
  2. Carlos The Jackal

    Huenda kilichozinduliwa Kwa ajili ya Uranium ,Nyuma yake kuna Uchimbaji wa Dhahabu !

    Kwa namna Madini ya Uranium yanavyochakatwa kuanzia Uchimbaji, Usalama wake katika Muktadha wa Usafirishaji, Usalama wa Mazingira , Usalama wa Binadamu, Usalama dhidi ya Jaribio watu wenye nia Ovu na malighafi ya Uranium . Hilo tu lilitosha Leo Kwa Rais na Walinzi wake kuvalishwa Mavazi Rasimi...
  3. 1Africa54

    Habari wakuu wa kaya Naomba Ushauri juu ya uchimbaji wa Dhahabu

    Wakuu wa kaya NAOMBA USHAURI JUU YA UCHIMBAJI WA DHAHABU Kuna eneo nyeti Lina dhahabu nahitaji niwekeze Anae jua process za UCHIMBAJI anipe info mbili tatu
  4. benjamathayo

    Nahitaji mwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu singida

    habar za mda huu wadau wote wa sekita ya madini Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji muwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu mkoan singida nina lesen pml kuna maduara tayar udhalishaji ni 1gram kwa tani hadi 5gram kwa tani inategemea ni duara lina urefu gani lkn maduara yanapata miamba...
  5. Paul Alex

    Nakaribisha wadau kwenye uchimbaji wa dhahabu.

    Kama ilivyo hapo juu, Mimi ninachimba Mwime ya Kahama Shinyanga. Nimechimba shimo ambalo limefikia kwenye uzalishaji ila lina changamoto kwenye mtaji. At least mtaji wa nyongeza wa mil 5 and above. Ila kwa changamoto zilizopo mil 5 zinatoboa. Mdau atakayekuwa interested nitampa hisa kwa taratibu...
  6. E

    Kampuni ya Resolute Mining iliyotupiga Nzega wabananishwa nchini Mali, walipa USD milioni 160

    Kampuni ya Resolute iliyochimba dhahabu nzega na kumaliza dhahabu yote na kuhamia nchini mali wamebananishwa. ========= In short: The CEO of Resolute Mining, along with two other employees, who were detained by the Mali government, have been released. All three employees are safe and well...
Back
Top Bottom