uchawa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. secretarybird

    Nadhani kazi ya uchawa imefutwa rasmi Oktoba 29, 2025

    Kwanza kabisa nawapa pole wale wote walioathirika kwa namna Moja ama nyingine katika harakati ya kulikomboa Taifa letu, waliotutangulia wale pema, amen! Wakuu kazi ya kuipamba serikali (uchawa) imefutika rasmi mnamo 29, octoba baada ya shughuli kubwa ya watanzania kuonesha nia ya kulikomboa...
  2. Mafyangula

    GE2025 Mgombea Udiwani ampigia magoti Tulia ili ajenge kituo cha afya

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Igawilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Msole Sanga amepongeza jitihada za Dkt. Tulia Ackson kwa namna alivyowasaidia wananchi wa kata hiyo pamoja na Jimbo jipya la Uyole kwa ujumla, licha ya kumpigia magoti akiomba ujenzi wa barabara za lami katika mtaa wa...
  3. Mashamba Makubwa Nalima

    Hili anguko liwe fundisho hata kwako: Usikubali kuzungukwa na MACHAWA, hawana faida kwako na future yako

    Wewe watu wanasifia kila kitu unachofanya na unaona wako sawa tu. Ukiiba wanasifia Ukikemea wizi wanasifia Ukikemea uuaji wanasifia MACHAWA sio watu, si mnawaona humu. Hao hao walifurahia kufungiwa kwa Jamiiforums ila bado wanatumia hii hii platform kupush harakati zao. Machawa sio watu...
  4. Mashamba Makubwa Nalima

    Tusiilaumu Akili Mnemba (AI) kwa Kifo cha kazi ya UCHAWA. Tufurahi kuwa tunaenda kushuhudia hiki kifo, Tunaenda kuponya kizazi chetu na kinachofuata

    Ieleweke kifo cha UCHAWA kinaelekea kutokea sio kwasababu ya maendeleo ya kiteknolojia na matumizi makubwa ya AI (Akili Mnemba). Kifo cha uchawa kinatokea kwasababu ya misingi ya uanzishaji wa hii ajira kabisa, tokea mwanzo ilitolewa kwa watu ambao: Wako tayari kuwazunguka waTanzania wenzao...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Baraza la Wazee Namtumbo: Samia amekuwa kielelezo cha uongozi wenye dira, huruma na usikivu

    Wazee wangu nawaona huruma hivi. Pesheni vipi? au ndio mmeshalambisha asali ================ Baraza la Wazee wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, limetoa tamko rasmi likionesha uungwaji mkono wao kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao...
  6. Waufukweni

    Askofu Gwajima: Chawa Silaha yao ni kujipendekeza, mwenye uwezo anabebwa na uwezo wake

    Askofu Gwajima: Chawa silaha yao ni kujipendekeza, mwenye uwezo anabebwa na uwezo wake Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
  7. McLaren

    GE2025 Video: Baada ya madaftari sasa ni Sendo Za Mama. Haya ndo maandalizi ya CCM kwenye Uchaguzi?

    Wakuu, Baada ya madaftari ya mama kutrend na mitungi sasa ni muda sendo za mama. Soma pia: Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu! Haya mambo ya uchawa yamefikia kwenye kiwango cha ajabu sana
  8. Mindyou

    PreGE2025 Sina tu nauli ningeenda Burkinafaso! Kampeni mpya ya "Gurudumu La Mama" yazinduliwa Dodoma!

    Wakuu, Yaani huu mwaka huu hadi tuombe maji, hakuna kupumzika! Ningepata nauli ningeenda Burkinafaso tu, hii nchi ukifuatilia mambo ya serikali unaeza kupata blood pressure. =============== Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka Maafisa Usafirishaji Dodoma maarufu kama...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Idris Sultan kuja na documentary ya 'Tanzania ya Samia'

    Msanii wa Filamu na Mwanamitindo Maarufu Nchini Tanzania ametangaza ujio wa Tamasha la Rangi Zinaongea litakalo fanyika Tarehe 23/05/2025 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na kuionesha nembo ya Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ambapo itakuwa ni pamoja na...
  10. Intricate

    Ifike wakati, huu uchawa wa kumsifia Rais Samia uwe na staha. This is too much

    Yani hata msibani mnadiriki kummithilisha mama na marehemu.
  11. Mindyou

    PreGE2025 Diwani wa Ilala Luca Neghesti aandaa safari maalum ya kupanda SGR ili kuona maendeleo yaliyofanywa na Rais Samia

    Wakuu, Diwani wa Kata ya Msasani, Luca Neghest ambaye pia ni mmiliki wa Bongo 5 amesema, ameandaa safari maalum ya kufanya utalii wa ndani kwa kupanda treni ya SGR kwenda mkoani Morogoro. Diwani huyo amesema, ziara hiyo ina lengo la kuona maendeleo yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita...
  12. Mindyou

    PreGE2025 Katibu wa Wilaya CCM Kondoa: Muislam wa kweli huwezi kwenda kuswali bila kumtaja Rais Samia

    Wakuu, Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu. Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa. Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana. Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu...
  13. BLACK MOVEMENT

    Jua tofauti ya chawa uchwara na chawa Pro Max wa CCM

    Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa...
  14. McLaren

    PreGE2025 Mwenezi CCM Rombo aweka plate number yenye vifupisho vya jina la Rais Samia. Hivi kiutaratibu hii imekaaje?

    Wakuu, Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari? Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufuatwe? Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa...
  15. The Father of All

    Wanaomtukuza na hata kumuabudu rais wanajua balaa wanalomtengenezea?

    Kwa wanaokumbuka matukio ya kisiasa nchini, watakubaliana nami kuwa hii tabia ya uchawa na kusifia kila kitu ilianzishwa na John Magufuli alipokuwa rais. Matokeo yake, Magufuli alikuwa katika mazingira ya kutatanisha. Alipenda kupigiwa magoti na kutukuzwa karibu na kuabudiwa. Baada ya kifo...
  16. K

    Kwanini watu wengi wanaoshabikia CCM hawana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kusifia?

    Jamani naombeni kuuliza,kwa nini watu wengi wanaoishabikia CCM hawajui kujenga hoja zaidi ya kusifia? Mfano Dotto magari,Mwijaku na wengine wengi,yaani ukisikiliza wanachoongea hakina maana na wamekuwa wakipewa nafasi kubwa hata na Rais mwenyewe kama kuutambua uwepo wao kwenye matukio kama...
  17. Mindyou

    PreGE2025 Mkuu wa Mkoa wa Simiyu: Asisimame mtu yeyote ndani ya mkoa akaamini ana nguvu kuliko CCM. Hela zinaletwa na Serikali chini ya Rais Samia

    Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi, ameonya dhidi ya watu wanaodhani kuwa wana nguvu zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza wakati wa ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Stephen Wasira, Kihongosi alisisitiza kuwa CCM ndicho chenye mamlaka katika mkoa huo. "Asisimame mtu...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Dodoma: Wana CCM msiogope kuitwa chawa

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba, amesema vyama vya upinzani vimekosa msimamo kwa kubadilisha hoja zao mara kwa mara, kutoka kudai Katiba Mpya hadi kaulimbiu ya "No Reform, No Elections" (Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi). Kupata...
  19. Mindyou

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Michezo amshukuru Rais Samia kwa "kutoa" fedha na kuinua na michezo nchini

    Wakuu, Hivi wabunge wa CCM wanaposema Rais "ametoa" fedha wanamaanisha? Kwamba zimetoka mfukoni kwake na sio kodi za wananchi? Au yeye ndo anaidhinisha kutolewa kwa hizo fedha? Na kama Rais ndo anapitisha fedha za maendeleo, kazi ya hao wabunge inakuwa ni nin sasa? ========================...
  20. Mindyou

    PreGE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

    Wakuu Msanii Profesa Jay amesema baadhi ya Watu wanaowashambulia Wasanii kama Ay na wengine kutokana na kupanda kwenye majukaa ya Vyama vya siasa, hawawatendei haki kwasababu Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia. Kwenye mahojiano maalum na Mtangazaji Millard Ayo, Profesa Jay ameeleza yafuatayo...
Back
Top Bottom