uchaguzi uganda

Uchaguzi is a joint initiative spearheaded by Ushahidi in 2010 to monitor the Kenyan constitutional referendum. Ushahidi collaborated with the Hivos Foundation, the Constitution and Reform Education Consortium (CRECO), INFONET, and the Canadian International Development Agency (CIDA) to develop an ICT platform, which enables citizens, the civil society, election observers, law enforcement agencies and humanitarian response agencies to monitor election incidents of significance using any technology at their disposal.
The initiative has since successfully been implemented in the 2010 Tanzanian general elections, the 2011 Zambian general elections and in the 2013 Kenyan general elections.

View More On Wikipedia.org
  1. Mafyangula

    Wasimamizi wa uchaguzi Uganda waliowatangaza wagombea wa upinzani kushinda nafasi za Ubunge na Udiwani wakamatwa na polisi na kushushiwa kipigo

    Afrika ni ngumu sana kwa baadhi ya mataifa! Mfano mataifa ya Afrika Mashariki yanatia aibu sana katika mchakato wa uchaguzi walau Kenya kuna misingi ya Haki na sio Tanzania wala Uganda na mataifa mengine ni kunaukandimizaji wa haki mkubwa sana katika kipindi cha uchaguzi! Ukoloni mpya unazidi...
  2. Q

    Museveni alimdanganya Samia, uchaguzi Uganda umeisha hatujaona akiua maelfu

    Kisa; Hapo zamani za siku hizi, kulikuwa na wanawake wawili mmoja mwerevu na mwigine mpumbavu, walikuwa wanataka kuvuka mto, wote walikuwa wamebeba watoto mgongoni, mpumbavu alibeba mtoto wake lkn mwerevu alibeba jiwe kama mtoto, mwerevu kamwambia mpumbavu ili tuvuke huu mto lazima tuwatupe...
  3. M

    Uchaguzi Uganda: Mbona hatuoni Waganda wakichoma, kuharibu miundo mbinu na kuiba mali za watu baada ya matokeo?

    Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku. Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi yao, na pia kuiba mali za Waganda wenzao? Kulikoni Tanzania kwa wale waliojifanya wanaandamana kwa...
  4. McLaren

    Tishio la kuzimwa kwa mtandao lapelekea App ya Bitchat kuongoza kupakuliwa nchini Uganda

    Zikiwa zimebaki siku 5 mpaka kuelekea Uchaguzi Mkuu, App ya mawasiliano ya Bitchat imeshika nafasi ya 1 kwenye orodha ya apps za bure zilizopakuliwa zaidi nchini humo Bitchat ni app inayojikita kwenye faragha na mawasiliano yasiyohitaji mtandao wa intaneti, ikitumia teknolojia ya Bluetooth...
  5. McLaren

    Raia akamatwa na Polisi wa Uganda kwa kumiliki vifaa na zana za Uchaguzi

    Polisi nchini Uganda wamemkamata raia mmoja pamoja na wafanyakazi wawili wa Tume ya Uchaguzi kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya uchaguzi, ikiwemo fomu 862 zenye taarifa muhimu za wapiga kura na fomu 83 zinazorekodi wasimamizi wa uchaguzi waliopokea vifaa hivyo. Aliyekamatwa ni Matovu Micheal...
  6. McLaren

    Serikali ya Uganda yapiga marufuku vyombo vya habari kurusha "live" habari za maandamano

    Serikali ya Uganda imeweka masharti mapya yanayozuia vyombo vya habari kurusha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano siku chache kabla ya uchaguzi wa rais unaotarajiwa kufanyika Januari 15, 2026. Kupitia agizo lililotolewa Januari 5 na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
  7. M

    Natabiri Tarehe 15 January 2026 siku ya uchaguzi wa Uganda itakuwa ni siku mbaya sana, waganda wengi sana watapigwa risasi

    Presha ya uchaguzi imekuwa kubwa sana nchini Uganda huku wananchi wakionesha kuchoka na rais wa wa tangu mwaka 1986 Mzee Museveni. Siku ya uchaguzi ni 15 January 2026 na sioni ikiisha salama kama ilivyozoeleka, Museveni ameshatoa onyo kuna risasi nyingi kuzidi waandamaji, tayari kajiandaa kwa...
  8. M

    Uganda: katika kampeni zinazoendelea watu wanapigwa risasi na mabomu, Kuna dalili za machafuko makubwa siku ya kupiga kura.

    Katika Kampeni zinazoendelea, vyombo vya ulinzi na salama vimekuwa vikiua na kuwanyanyasa wapinzani na wafuasi wao
  9. Mkalukungone Mwamba

    Bobi Wine kumenyana na Museveni katika uchaguzi wa urais uganda 2026

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 dhidi ya Rais Yoweri Museveni. Tangazo hilo lilitolewa leo katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa kwa ajili ya kuonyesha cheti chake cha kuwania urais kupitia...
  10. DuaZaMama

    Jenerali Moses mwenye umri wa miaka 86 amezindua Kampeni ya Ubunge

    Jenerali Moses Ali, Naibu Waziri Mkuu wa Pili wa Uganda, ameanza rasmi kampeni zake za kugombea tena kiti cha ubunge cha East Moyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2026. Akiwa na umri wa miaka 86, Jenerali Moses Ali amesifiwa na wananchi wa Uganda kwa mchango wake mkubwa katika utumishi wa umma...
Back
Top Bottom