uchaguzi oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Mwananchi: Nilizungumzia haki kuelekea uchaguzi Oktoba 29, ikaniletea shida kutafutwa hadi nyumbani kwa wazazi wangu, nikaenda uhamishoni wiki 3

    Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, kijana mmoja amehoji uwazi wa kuzungumza akielezea changamoto aliyopata kutafutwa baada ya kutoa kauli Oktoba 22, 2025 "...
  2. BigTall

    PostGE2025 Matukio ya Uchaguzi Oktoba 29, yalivyoacha kovu la kisaikolojia: Nani wa kutoa msaada?

    “Tulibebeshwa miili ya marehemu waliopigwa risasi… hali hii imetuathiri kisaikolojia, tusaidiwe.” Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025 umeripotiwa kuambatana na matukio mengi ambayo kwa raia wengi yalikuwa mapya na ya kutisha. Simulizi kwenye mitandao ya kijamii na mitaani zimeacha huzuni...
  3. Mafyangula

    PostGE2025 Kada wa ACT: Mchango wangu katika taifa kupitia siasa umefika mwisho, nataka nitulie na familia yangu, sitaki ugomvi na serikali

    Jamaa kaona ya nini tena baada ya kukaa mahabusu kwa siku kadhaa kaona siasa ngumu kaamua akiche siasa ============= Katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi wa Chama Cha ACT - Wazalendo Mkoa wa Njombe Ally Mhagama (Saga Saga), ambaye pia alikuwa mgombea wa Udiwani wa Kata ya Mkongobaki Wilayani...
Back
Top Bottom