Serikali ya Uganda imeyafungia mashirika yasiyo ya kiserikali 10, huku ikieleza sababu za kuchukua hatua hiyo.
Uamuzi wa kusitisha kwa muda usiojulikana shughuli za baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini humo, umefanyika ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu kesho...
Wakuu,
Kama wote tunavyojua kuwa huko Uganda inatarajiwa kufanya Uchaguzi Tarehe 15 Januari na kufikia sasa kampeni zimeendelea kupamba moto na kutaradadi huku washindani wakubwa kwenye Uchaguzi akiwa ni Bobi Wine wa NUP pamoja Yoweri Museveni wa NRM
Uzi huu utakusogezea Updates zote za...
Siasa za Afrika ni ngumu sana, Ukishangaa ya Tanzania basi utayakuta ya Uganda.
Musevi anatumia nguvu nyingi sana kutaka kuendelea kubaki kwenye kitu cha urais, huku taswira ni kwamba wananchi wa Uganda wameshamkataa maana umasikini bado upo sana!
===================
Hizi ni vurugu kwenye...
Wakuu
Nimeona hii video ikimuonesha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ambaye pia ni mgombea wa wa Urais kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Janury 2026.
Oktoba 21, 2025 Tume ya Uchaguzi nchini Uganda ilitangaza kuwa uchaguzi mkuu utafanyika tarehe 15 Januari 2025, ikithibitisha rasmi tarehe ya wananchi kuchagua rais na wabunge wapya amabapo kwa sasa mikutano ya vyama imekuwa ikiendelea
Rais Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81 na ambaye...
Ugandan President Yoweri Museveni statues are seen campaigning on his behalf ahead of the upcoming 2026 elections.
Pia soma > Rais Museveni aidhinishwa na Chama chake (NRM) kuwa Mgombea Urais 2026
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.