Hali ya sintofahamu kwenye kijiji cha Nanjirinji A Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Wanakijiji wamegomea mkutano wa kijiji wakipinga Ubadhirifu unao fanywa na viongozi wa kijiji Mwenyekiti na Mtendaji.
Madai ya wanakijiji hao Uongozi wa kijiji umeuza mali, mashamba ya kijiji na kuhujumu miradi...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha la Equatorial Guinea, Baltasar Engonga Ebang, amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa ubadhirifu wa zaidi ya Sh milioni 230 za serikali
Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari nchini humo, Engonga alijipatia Sh milioni...
Kuna fununu sana Arusha kwamba mtoto pendwa ndio anaichukua Hoteli ya Mount Meru, na ikumbukwe pia kuna fununu za kuinunua Impala Hoteli iliyokuwa inamilikiwa na Bilionare Mrema. Sasa ni Mount Meru Hoteli tena.
Kijana ana ukwasi wa kutisha sana ndani ya miaka mitatu tu hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.