Mioyo ya watanzania imeanza kuamka sasa, hawafuatilii tena vitu visivyo na mbele wala nyuma
Giza limeanza kuondoka, matongotongo machoni mwa watanzania hayakaliki tena, hadi saluni siku hizi wadada hawapigi tena umbea bali wanakaa na kumtazama jamaa aliebeba tumaini lao
Hamna Sarakasi yoyote isojulikana inayotumiwa kama sehem ya mbinu ya Jamhuri kuwaumiza Upinzani.
In fact CCM na Serikali yake mbinu zenu zoote zinajulikana .
KESI YA LISSU LAZIMA IANZE TAREHE 24 /4 /2025 Pasipo na kisingizio chochote Cha Kipuuzi.
Wakuu,
Kuna yeyote amemuona Mwenyekiti wa CHADEMA aliyepita, Freeman Mbowe kapost chochote kuhusu kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu.
Nimetoka kwenye akaunti zake huko X na Instagram naona mara yake ya mwisho kupost ni mwezi Januari.
Ina maana huyu baba hajasikia kwamba Lissu ametiwa...
Wakuu,
Sakata la Tundu Lissu kukamatwa na kuwekwa ndani kwa uahini limeendelea kuchukua sura mpya.
Siku ya leo taasisi za haki za binadamu na sheria kutokea Afrika Mashariki yameungana na kutoa waraka wa pamoja wa kukemea na kulaani kukamatwa kwa Tundu Lissu.
Waraka huo ambao umesainiwa na...
Katika makosa ambayo ccm imewahi kufanya basi kosa la kimkamata tundu lissu wakati huu ni kosa baya sana.
1. Chadema imekuwa popula mara dufu kwa wananchi.
2. Chadema imekuwa popula kimatafa
3. tanzania imekuwa exposed kama nchi isiyo fuata demokrasia .
4.Kosa hili limefuta mazuri ya Rais...
https://youtu.be/mzQEeiy4TjE?si=fkKNag_Pg0wJdYU_
➡Kumbe Lissu ameshitakiwa kwa makosa matatu tu ambayo upelelezi wake umekamilika...
➡Kosa la "TREASON" ama "UHAINI" limewekwa "just by the way" tu kwa kuwa hata aliyeandaa shitaka hilo (serikali) naye anasema "bado hana uhakika" kwa kuwa...
Tanzania's opposition leader Tundu Lissu arrested after rally | Africanews
Tundu Lissu among Tanzania's top Chadema figures arrested in crackdown
Tanzania clamps down on opposition rally, arrests leaders.
tanzania-opposition-leader-tundu-lissu-arrested-at-rally-4996772
Tanzania arrests prominent...
Kesi za uhaini ni kesi ngumu sana, na huchukua muda mrefu kumalizika. Hii inaweza kufika hata 2029. Na hapa sioni mawakili wa kiwango cha Lakha aliyesimamia kesi ya uhaini enzi ya Nyerere.
Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.