tunauza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. VN Warehouse Limited

    Unatafuta Vifaa vya Ujenzi? Karibu VN Warehouse Limited – Tunauza Jumla na Rejareja

    Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri? Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja. Tunatoa bidhaa zenye ubora wa uhakika kwa mafundi, wakandarasi, na wateja wa kawaida wanaojenga au kufanya...
  2. K

    INAUZWA Tunatengeneza furniture aina zote pia tunauza ambazo zimeshatengenezwa

    Habari wakuu? Karibuni kwa mahitaji ya furniture aina zote zenye ubora wa hali ya juu na za kisasa. Tunapokea order na pia tuna furniture ambazo ziko tayari Ofisi zetu zinapatikana tabata mwananchi na keko chang’ombe kwa mawasiliano zaidi tutafute kwa no 0616941241
  3. nzalendo

    Tunauza vipimo vya kuthibitisha iwapo wakubwa wamefurahi ama lah

    Naam ni vipimo vya kuthibitisha kama wakubwa wanafurahi ama la. Pia vitakuwa vinatuma taarifa TCRA ili kuokoa muda kwamba jambo fulani limewakasirisha wakubwa. Pia kipimo hakitajali tafsiri ya katiba ya uhuru wa kutoa maoni bali itazingatia uchawa na furaha ya wakubwa. Sema AMINA
  4. V

    Tunauza viwanja Kibugumo Kigamboni

    Tunauza viwanja ni viwanja vizuri sana vipo kigamboni kibugumo 15kwa20 bei milioni 18, mita 15kwa15 milioni 15na mita 14kwa13 milioni12. Kwa mawasiliano 0659962452;
  5. alphonce.NET

    Tunauza vifaranga wa kuku chotara

    Tunauza vifaranga wa kuku chotara aina ya sasso na kloila. Wanakua haraka, wavumilivu dhidi ya magojwa, wanafaa kwa nyama na mayai Wanapatikana kila Jumatatu, bei Sh 1,800 Umri siku 2 Tupo Lugela - Kahama. Tunasafirisha kwenda maeneo yote kanda ya ziwa Simu: 0767659145, 0787659145
  6. PamojaTz

    Tunauza softcopies ya vitabu vyote, LOGO designing & CV writing service

    WhatsApp 0737317870. https://chat.whatsapp.com/GoewXtIHRet9gtluCpfSaj
  7. PamojaTz

    Tunauza softcopies.

    WhatsApp 0737317870. WhatsApp group..👇 https://chat.whatsapp.com/GoewXtIHRet9gtluCpfSaj
  8. jT0078

    Computer4Sale Tunauza na kutengeneza Computers

    Kama unahitaji fundi wa Computer au unahitaji Accessories ya computer nichek.. Battery za laptop/Mac Screen za Laptop/Mac Charger za Laptop/Mac Keyboard za Laptop/Mac Softwares zote Windows & Mac osx Hdd /Ssd and Ram Tupo ilala - Dsm 0767953873.
  9. jT0078

    Tunauza na kubadili vioo na housing za laptop

    Leta Laptop yako tubadili muonekano kama... -Housing imevunjika au ina scratches -Kioo cha Laptop kimevunjika/kina madoa/kina mistari Tupo ilala - Dsm 0767953873
  10. M

    Tunauza Pump

    Tunauza Pump za kupulizia dawa mabandani Bei 15 Piga sim 0612323330
  11. ADESIGN

    TUNAUZA NYANYA JUMLA KINYEREZI/SEGEREA/TABATA

    TUNAUZA NYANYA FRESH KWA JUMLA NA REJA REJA! SHAMBA LIPO KINYEREZI, NA TUNAPATIKANA HAPA HAPA KINYEREZI! NYANYA MBEGU YA KENYA! IMARA SANA NA HAZIHARIBIKI KWA HARAKA, NIPIGIE 0684101707, NYANYA KWENYE MBOGA TAMU SANA! TUNETUMIA MBOLEA ASILIA, KARIBU SANA!
  12. M

    Tunauza Stend za laptop

    HABARI ZENU NDUGU ZANGU TUNAUZA STEND ZA LAPTOP ZA KISASA AMBAZO ZINA FENI KWA CHINI MBILI FENI ZINASAIDIA LAPTOP YAKO ILIPATE MOTO SANA MAANA FENI ZINAPOZA MOTO STEND INAKUJA NA USB YAKE AMBAYO UNACHOMEKA KWENYE LAPTOP ALAFU UNAKUJA KUCHOMEKA KWENYE STEND KARIBUNI SANA BEI 70 PIGA SIM...
  13. M

    Tunauza Eal Pump

    KARIBUNI MIFUGO PLUS EAL PUMP ZA KUPULIZIA DAWA BANDANI UNAWEKA DAWA KWENYE EAL PUMP UNAPULIZIA SAFI KABISA BEI 15 KARIBU DUKANI KWETU TUNAPATIKANA TEGETA KWA NDEVU DARAJANI PIGA SIM 0612323330
  14. M

    Tunauza Mashine YAKUCHAKATA CHAKULA CHA MIFUGO YOYE

    KARIBUNI MIFUGO PLUS Mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, samaki, na mifugo mbalimbali km, sungura,ngombe, mbuzi ngurue Mashine Zipo chake Pia zipo kwenye Of Baada ya Lak 4 Njoo Oficini Lipia Kwa Bei ya 380 Ujanja Kuwai wateja wangu PIGA SIM 0612323330
  15. M

    Tunauza chopa mashine karibuni mifugo plus

    Karibuni mifugo plus Tunauza chopa mashine ni mashine yakuchakata chakula cha mifugo mifugo yoye zipo kwenye ofa ofa baada ya lak 4 utalipia Bei laki 380 mashine ziko chache sana maboss zangu Piga sim chapu 0612323330
  16. M

    Tunauza Sungura

    Sungura Wanauzwa Piga sim chap No Chat Piga 0612323330
  17. Denis Dion

    Tunauza copper coils na copper pipes na vifaa vingine vingi vya majumbani

    Tunauza copper coil size zote zente urefu wa mita 15 kwa roll kama ifuatavyo 1/4 copper coil ~ 75,000/= 3/8 copper pcoil ~ 115,000/= 1/2 copper coil ~ 155,000/= 5/8 copper coil ~ 210,000/= 3/4 copper coil ~ 270,000/= 7/8 copper pipes ~ 170,000/= 1 1/8 copper pipe ~ 250,000/= 1 3/8 copper...
  18. radhiya

    Tunauza Khanga kubwa kutoka Zanzibar

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 18,000/= Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 2,000/= tu. Contact/Mawasiliano: 0784 829565...
  19. radhiya

    Tunauza mitandio ya Chiffon

    Mitandio ya Chiffon inapatikana. Ukubwa: Medium Bei: sh 6,000/= Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 2,000/= tu. Contact/Mawasiliano: 0784 829565 @radhiyastore @prathlimited Karibuni...
  20. Gerald1

    Karibun tunauza camera haina zote

    Comment ni hipi we wahitaji
Back
Top Bottom