technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Muda ni sasa, kesho ipo karibu sana na tutashtukia tayari 2025 hiyo. Hatuna Tume Huru wala Katiba mpya.
Kama tuna pesa za Mwenge wa Uhuru tunakosa vipi pesa ya kumalizia Katiba ambayo ipo tayari kwa 90%?
Kama tuna pesa za kufanya SENSA ya watu na makazi mwaka 2022 tunakosaje pesa ya kumalizia Katiba ya Warioba?
Naomba kutoa rai kwa Watanzania wote wapenda mabadiliko wakati ni sasa kipindi ambacho Mama ajajipanga na kukita mizizi kwenye urais wake tutoke vijana kwa maelfu tuandamane kwa amani kudai Katiba.
Takataka na uchafu wa yote yanayoendelea ni kutokana na nchi kukosa Katiba na mifumo iliyo imara.
Naomba CHADEMA na wadau wengine mnaotaka Tanzania kupiga hatua za kweli toeni tamko na mikakati ya kudai Katiba mpya ya Warioba kama bado haoni umuhimu wa kuwaita mezani mapema.
Tujifunze kudai vitu sio kupewa kwa hisani ya mtu.
Ukipewa atapewa credit ukidai na ukapewa utapewa credit.
Kama tuna pesa za Mwenge wa Uhuru tunakosa vipi pesa ya kumalizia Katiba ambayo ipo tayari kwa 90%?
Kama tuna pesa za kufanya SENSA ya watu na makazi mwaka 2022 tunakosaje pesa ya kumalizia Katiba ya Warioba?
Naomba kutoa rai kwa Watanzania wote wapenda mabadiliko wakati ni sasa kipindi ambacho Mama ajajipanga na kukita mizizi kwenye urais wake tutoke vijana kwa maelfu tuandamane kwa amani kudai Katiba.
Takataka na uchafu wa yote yanayoendelea ni kutokana na nchi kukosa Katiba na mifumo iliyo imara.
Naomba CHADEMA na wadau wengine mnaotaka Tanzania kupiga hatua za kweli toeni tamko na mikakati ya kudai Katiba mpya ya Warioba kama bado haoni umuhimu wa kuwaita mezani mapema.
Tujifunze kudai vitu sio kupewa kwa hisani ya mtu.
Ukipewa atapewa credit ukidai na ukapewa utapewa credit.